Mmmh inasikitisha sana. Hata mm kwa kiasi fulani naamini ndoto ingawa napuuzia . Nilishawahi kuomba kitu kwa uchungu.nikimuomba Mungu anipe jibu. Siku hiyo nilishinda nalia kanisani haikuwa siku ya jpili so nilikuta kanisa liko wazi iliidi nipeleke lawama zangu altare .Baadhi ya ndoto zina maana dada yangu,, Wakati mwingine Mungu anatumia ndoto kuwapa watu maono japo si kila ndoto ina maana.
Mfano hai,, kisa cha kwanza nilishakieleza kwenye uzi wa watu waliowahi kunusurika kifo
*Wakati nasafiri kwenda field (enzi nipo chuo) kabla ya safari mama yangu aliniambia usiku nimeota ndoto mbaya sana, (yeye ni mtu wa dini sana) kama inawezekana hairisha safari, bahati mbaya ikawa haiwezekani kuhairisha safari sababu nilikua nimechelewa kuripoti,, basi akaniambia njoo tusali kuombea safari, hata hatujaanza kusali mtu wa kunipeleka stand akawa amefika nakumbuka aliniambia naomba usisahau kuombea safari maana sina amani kabisa.
Safari imeanza kama baada ya masaa manne hivi tukapata ajali tena gari lilikua speed balaa, halafu usukani wa gari umestaki umekata kona upande mmoja wala haugeuki upande wa pili, pona pona Mungu alisaidia ikagonga kitu kama bonde kisha ikaenda kugonga mti mkubwa sana mpaka ukakatika ndio hapo likasimama ikawa pona yetu.
Kisa cha 2,, wakristu wote ila hasa wakatoliki wana kitu wanaita jumuiya (mkisanyiko wa familia mbalimbali kwa ajili ya kusali n.k)
Mtaani kwetu walikua wanakutana kila jumamosi asubuhi,, siku hiyo mama yangu akawaambia jamani usiku wa leo nimeota ndoto, Nimepata maono kua tuwaombee sana watoto wetu na familia zetu kiujumla,, kutokana na kuchoka au ibada kua imemalizika watu wengi hawakutilia maanani
After two weeks toka aseme hivyo kuna familia moja (na siku ya anasema walikuwepo wote jumuiyani) mtoto wao wa miaka miwili au mitatu hivi alifariki baada ya kudumbukia kwenye ndoo ya mafuta ya kupikia, kichwa chini miguu juu.
Ndio hapo kila mtu akakumbuka maneno yake. Na huyo mtoto aliwauma watu wengi sana, sababu alikua ndio mtoto maarufu sana pale mtaani he was very handsome, very charming kila mtu alikua akimfahamu, kila mtu alikua akipenda kumshika nadhan pia kila mtu alitamani kua na mtoto kama yule.
So sometimes kwa matukio haya mawili hua naamini kuna baadhi ya ndoto kweli zina maono au ni indicator ya what will happen next
Si ungeni PM jamani tushee mawazo.Hivi ndoto zina maana kweli? Mida hii nimetoka kuota ndoto dah kweli nahisi malaika wamenipa ujumbe ila binadamu tulivyo wabishi sasa.
Usingizi umekata naitafakari tho naona ni ukweli 95%. Usingizi umekata option ni kuingia JF.
Situation kama hii ya kukosa usingizi saa 9 usk ati malaika anashuka anazima mitandao? Huyu hawezi kuwa malaika wa mbinguni.
Asante.Mmmh inasikitisha sana. Hata mm kwa kiasi fulani naamini ndoto ingawa napuuzia . Nilishawahi kuomba kitu kwa uchungu.nikimuomba Mungu anipe jibu. Siku hiyo nilishinda nalia kanisani haikuwa siku ya jpili so nilikuta kanisa liko wazi iliidi nipeleke lawama zangu altare .
Nilimaliza masaa ma 3nahisi niliongea kwa hasira nikamwambia Mungu. Leo hii naomba jibu ukichelewa nahisi ntapasuka.
Nikarudi kwangu nikalala. Saa 11 alfajiri mama ananipigia. Mwanangu nimeota hivi na hivi na ndoto imejirudia. Moja kwa moja nikajua Mungu jibu kapitisha kwa mama. Saa 7:30 nikapiga siku kuhakikisha. Sikuamini jibu nililopewa. Kama mama alivyoota ndivyo ilivyokuwa. Hii sitokaa niisahau..............wewe fulani uishi miaka mingi.
Jeiefu sihami wallah hata iweje 🤣Ukiota ndoto umeenda chooni, tafadhali usije ukathubutu kukunya. Maana asubuhi lazima utakuta limenata kwenye shuka...🙄🙄
Mwali, umeiona pm yangu..??Jeiefu sihami wallah hata iweje 🤣
Pm nimefunga ushi...niambieMwali, umeiona pm yangu..??
Dahhhh....Pm nimefunga ushi...niambie
Pole ushi...hakuna namna..Dahhhh....
Basi sawa, ingawa roho inauma sana hadi imetobokatoboka...🙄🙄
Ulishapata majibu? NilisaidieMkuu kuna ndoto nimeota juzi kwenye ndoto naonekana nipo kwenye gereza alafu kuna m2 akaja akanipa funguo 3 moja ya kufungulia mlango wa geleza na hizi nyingine mbili nimesahau zilikuwa za nini, kama una idea kidogo ya ndoto hii inamaanisha nini nitashukuru ukinisaidia
Sent using Jamii Forums mobile app