Orodha ya mikoa 10 inayofaa kuwekeza/kufungua biashara

Ndo mji makao makuu ya wilaya ya Tandahimba au vipi maana inaonekana pana mzunguko mkubwa wa pesa na nn shughuli kuu za uchumi hapo mjini?
Mkuu Choice Variable,Nanyamba imekatwa kutoka Wilaya ya Mtwara Vijijini. Na kwa kifupi ni Mtwara Vijijini. Ni mji wa zamani pale pana mission na hospital ya muda kwa kiasi chake. Kihistoria wachambuzi wanasema kufuatia vuguvugu la wadau kupendelea Nanyamba iwe Tandahimba ndiyo inasemekana kuwa ili kutuliza hali ikapewa hadhi ya kuwa Halmashauri(ambayo wanakizi pia kwa maoni yangu)
Kwa hiyo Nanyamba ni Halmshauri,muundo wake ni kama ilivyo Makambako,kwamba ni mji wa kibiashara(kwa nadharia hiyo) ingawa pale wanauaza sana mazao hasa Korosho. So ni eneo jipya la Kiutawala lakini wanajitahidi sana. Kwa hiyo kujibu swali lako ni kuwa Nanyamba ni mji unaojitegemea ukiwa mpakani mwa Tandahimba na Mtwara Vijijini,ila haiko Tandahimba bali iko Wilaya ya Mtwara(ilikua ndani ya Halmashauri ya Mtwara) kwa sasa inajitegemea kama Halmashauri kamili,lakini ndani ya Wilaya ya Mtwara na siyo Tandahimba.
 
Mkuu Choice Variable,Nanyamba imekatwa kutoka Wilaya ya Mtwara Vijijini. Na kwa kifupi ni Mtwara Vijijini. Ni mji wa zamani pale pana mission na hospital ya muda kwa kiasi chake. Kihistoria wachambuzi wanasema kufuatia vuguvugu la wadau kupendelea Nanyamba iwe Tandahimba ndiyo inasemekana kuwa ili kutuliza hali ikapewa hadhi ya kuwa Halmashauri(ambayo wanakizi pia kwa maoni yangu)
Kwa hiyo Nanyamba ni Halmshauri,muundo wake ni kama ilivyo Makambako,kwamba ni mji wa kibiashara(kwa nadharia hiyo) ingawa pale wanauaza sana mazao hasa Korosho. So ni eneo jipya la Kiutawala lakini wanajitahidi sana. Kwa hiyo kujibu swali lako ni kuwa Nanyamba ni mji unaojitegemea ukiwa mpakani mwa Tandahimba na Mtwara Vijijini,ila haiko Tandahimba bali iko Wilaya ya Mtwara(ilikua ndani ya Halmashauri ya Mtwara) kwa sasa inajitegemea kama Halmashauri kamili,lakini ndani ya Wilaya ya Mtwara na siyo Tandahimba.
Hapo sasa nimekupata vyema
 
Back
Top Bottom