Orodha ya mikoa 10 inayofaa kuwekeza/kufungua biashara

Unapokoment bila kufanya research unakosea. Aliekwambia wachaga wanaendesha jj bila pesa ni nani? Umeshazunguka moshi jiji uone wachaga wanavyochapa kazi. Kama sijakosea takwimu za mwaka jana moshi ilikuwa juu ya mtwara so hako kamji ambacho hata hakajulikani kamwe hakawezi kuishinda moshi.

Check takwim zingine za kimapato zilitoka juzi.
Hizo ni Porojo tu. Wachaga wanaweza kuwa matajiri kwa kujenga sehemu tofauti tofauti. By the way,kiutajiri kama kwa nchi ambayo imewekeza haswa,miji yenye bandari ni miji tajiri by default. Ukichanganya na Gesi,Korosho hizo pekee Moshi tupa kule. Huo ndiyo ukweli mchungu.
 
Ha ha ha ha. Nanyamba ni kisehemu fulani cha Biashara. Kipo kati ya Mtwara mjini(70km) na Tandahimba(30km hivi)
Ndo mji makao makuu ya wilaya ya Tandahimba au vipi maana inaonekana pana mzunguko mkubwa wa pesa na nn shughuli kuu za uchumi hapo mjini?
 
Dar tena, c wamesema baada ya miaka 50 inazama tena wewe unashauri watu kwendda huko
 
Ifuatayo ni orodha ya mikoa/miji kumi ambayo wananchi wake wana ahueni ya kipato hivyo muwekezaji/mfanyabiashara makini lazima uzingatie.
1.Dar
2.Dodoma
3.Arusha
4.Mwanza
5.Tanga
6.Morogoro
7.Mbeya
8.Mtwara
9.Pwani
10.Tabora

Source. OR-TAMISEMI-2018

Note..Kuna miji na mikoa haiko kwenye top ten list lakini iko vizuri kimapato mfano Kahama,Tunduma
Tabora ulipaswa uwe kwenye top five
 
Back
Top Bottom