Moneyowner
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,423
- 1,251
Maisha popote hata kigoma kuna millionaresMim naenda mtwara
Maisha popote hata kigoma kuna millionaresMim naenda mtwara
Hata mjini imeweza kupambana na Morogoro na Moshi. Ujue siyo sehemu ya kitoto.Kushanoga huko ukiona wilaya zake ziko vizuri kimapato
Ha ha ha ha. Nanyamba ni kisehemu fulani cha Biashara. Kipo kati ya Mtwara mjini(70km) na Tandahimba(30km hivi)Wapi upcoming city uchwara Moshi,wachaga mtaendeshaje jiji bila pesa yaani mnazidiwa na mji mdogo kama Nanyamba huko Ntwara aisee
Ipo kaka mkubwaNTWARA haipo?
Tumbakutabora kuna nini tuelezena vyema
Hizo ni Porojo tu. Wachaga wanaweza kuwa matajiri kwa kujenga sehemu tofauti tofauti. By the way,kiutajiri kama kwa nchi ambayo imewekeza haswa,miji yenye bandari ni miji tajiri by default. Ukichanganya na Gesi,Korosho hizo pekee Moshi tupa kule. Huo ndiyo ukweli mchungu.Unapokoment bila kufanya research unakosea. Aliekwambia wachaga wanaendesha jj bila pesa ni nani? Umeshazunguka moshi jiji uone wachaga wanavyochapa kazi. Kama sijakosea takwimu za mwaka jana moshi ilikuwa juu ya mtwara so hako kamji ambacho hata hakajulikani kamwe hakawezi kuishinda moshi.
Check takwim zingine za kimapato zilitoka juzi.
Haujakatazwa.. Yaani mimi nitoke hapa nilipo niende kigoma? Haujaniokota!Maisha popote hata kigoma kuna millionares
Sijakupata mkuu una maana ipi kwa hii commentHata mjini imeweza kupambana na Morogoro na Moshi. Ujue siyo sehemu ya kitoto.
Moshi kuna matajiri lakini kwa mnyonge kutafta pesa ni pagumu mnokutokuwemo Moshi kwenye list ni uthibitisho tosha kuwa kinu kilichochakata takwimu hizi kiko kule Chato!
Ndo mji makao makuu ya wilaya ya Tandahimba au vipi maana inaonekana pana mzunguko mkubwa wa pesa na nn shughuli kuu za uchumi hapo mjini?Ha ha ha ha. Nanyamba ni kisehemu fulani cha Biashara. Kipo kati ya Mtwara mjini(70km) na Tandahimba(30km hivi)
Tabora ni hovyo sanatabora kuna nini tuelezena vyema
Haaa haaa labda TMA watoe maelezo zaidiDar tena, c wamesema baada ya miaka 50 inazama tena wewe unashauri watu kwendda huko
Kinachoongea ni namba sio hisia binafsi soma hapo juu hususani KaliuaTabora ni hovyo sana
Tabora ulipaswa uwe kwenye top fiveIfuatayo ni orodha ya mikoa/miji kumi ambayo wananchi wake wana ahueni ya kipato hivyo muwekezaji/mfanyabiashara makini lazima uzingatie.
1.Dar
2.Dodoma
3.Arusha
4.Mwanza
5.Tanga
6.Morogoro
7.Mbeya
8.Mtwara
9.Pwani
10.Tabora
Source. OR-TAMISEMI-2018
Note..Kuna miji na mikoa haiko kwenye top ten list lakini iko vizuri kimapato mfano Kahama,Tunduma
Ulizungumzia Wilaya zake kwa mfano,nami nikagusia kwa mjini nao mji wao siyo haba,kwa maana umeweza kula sahani moja na Moro na kuizdi kidogo Moshi. Imekula sahani moja pia na Iringa,just to mention few.Sijakupata mkuu una maana ipi kwa hii comment
Unfortunately sijapanga kwa matakwa binafsi bali namba ndio zinaongeaTabora ulipaswa uwe kwenye top five