UTEUZI: Chama cha Mapinduzi chateua Makatibu katika Mikoa 32 na Wilaya 168

Tajiri la Bitcoin

JF-Expert Member
Apr 9, 2017
1,087
642
Hongera crdes wote kwa kuaminiwa na kuteuliwa kwenu hakika ni imani kubwa sana mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan kaitendeeni haki.
===
Nendeni kachapeni kazi ili kama Chama tuweze kutimiza matamanio na matarajio ya Wananchi wa Taifa hili,
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyokwisha agiza kamati zote za siasa ngazi ya Wilaya na mikoa kupitia kwa katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.
===

√ Mungu ibariki CCM,
√ Mungu ibariki Tanzania,
√ Mungu Mbariki Mhe Samia Suluhu
 

Attachments

  • CCM UTEUZI WA MAKATIBU (1).pdf
    6 MB · Views: 105
IMF why? Pesa mmeleta mnawapa wasio na huruma wafanye wanavyotaka halafu iweje?
Mnakera

Hizi pesa watajilipa mishahara hakuna litakalofanyika
Huu ni upigaji mwingine
Wakati mwingine haya mashirika makubwa yanashiriki kukandamiza maskini
Kuna wakurugenzi kuna wakuu wa wilaya na mikoa why not them kufanya hili zoezi?
Africa inatumika
RIP Mwl Nyerere uliipenda Tz na Watu Wake
Wengine wote ni maiigizo

Watawala wa Africa huwa wanasahau duniani tupo kwa muda mchache sana mali tutaziacha
But Why Africa?
 
IMF why? Pesa mmeleta mnawapa wasio na huruma wafanye wanavyotaka halafu iweje?
Mnakera

Hizi pesa watajilipa mishahara hakuna litakalofanyika
Huu ni upigaji mwingine
Wakati mwingine haya mashirika makubwa yanashiriki kukandamiza maskini
Kuna wakurugenzi kuna wakuu wa wilaya na mikoa why not them kufanya hili zoezi?
Africa inatumika
RIP Mwl Nyerere uliipenda Tz na Watu Wake
Wengine wote ni maiigizo

Watawala wa Africa huwa wanasahau duniani tupo kwa muda mchache sana mali tutaziacha
But Why Africa?
Kuwa na imani kila kitu kitakuwa sawa hii timu ni balaa
 
Hongera crdes kwa kuteuliwa kwenu ni imani kubwa sana hiyo mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan,
===
Kachapeni kazi ili kutimiza matamanio na matarajio ya wananchi wetu hasa WanaCCM
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyoagiza kupitia katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.

View attachment 2003143

View attachment 2003144

View attachment 2003146

View attachment 2003147

View attachment 2003149

View attachment 2003150

View attachment 2003151

View attachment 2003153

View attachment 2003154

View attachment 2003172

View attachment 2003174

View attachment 2003175

View attachment 2003176
Kongole kwao na kila la heri ,aaamin aaaamin🙏👊😍

#Siempre JMT
#Kazi Iendelee Kwa Kasi & Weledi Zaidi 💪
 
Hongera crdes kwa kuteuliwa kwenu ni imani kubwa sana hiyo mmepewa na Mkt wetu Ndg Samia Suluhu Hassan,
===
Kachapeni kazi ili kutimiza matamanio na matarajio ya wananchi wetu hasa WanaCCM
===
Kasimamieni zile TZS 1.3 za IMF vizuri Kama chama kilivyoagiza kupitia katibu wetu wa NEC Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka ili Uchaguzi wetu wa 2025 uwe rahisi zaidi ya ule wa mwaka 2020.

View attachment 2003143

View attachment 2003144

View attachment 2003146

View attachment 2003147

View attachment 2003149

View attachment 2003150

View attachment 2003151

View attachment 2003153

View attachment 2003154

View attachment 2003172

View attachment 2003174

View attachment 2003175

View attachment 2003176
Hakika CCM imesukwa, Mungu ibariki CCM,

Mungu mbariki Mkt wa CCM
 
Back
Top Bottom