Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,092
- 12,110
Dah! Mkuu hiyo arguement yako naona kama ligi ambayo siwezi kuishiriki sawasawa, maana ninayokueleza nina uhakika nayo.Kwetu hatuna marshal. Tunaishia four star general. Hata hivyo pia marehemu Kiwelu Tumainieli alifikia kuwa jenerali ingawa hakuwa Mkuu wa majeshi
Cheo kutovaliwa siyo kwamba hakipo.
Muundo wa vyeo vya Jwtz baada ya private (plain shirt) kuna Lance corporal hadi (Field) Marshal.
Vyeo vya jeshi huvaliwa kutokana na sifa pia muundo.
Unaweza kuwa na sifa lakini muundo kama hauruhusu, hauwezi kuvalishwa cheo husika.
Pia muundo unaweza kuruhusu, lakini mtu mwenye sifa ya kuvaa cheo hicho akakosekana.
Pia nimekueleza generali kinaanzia ubrigedia.
Huyo Kiwelu unayemsema kastaafu na cheo cha Lt gen na siyo gen.