Ijue orodha ya majenerali wa JWTZ toka liundwe

Uzi huu Ni kwa ajili ya kuwatambua majenerali wote wa JWTZ toka iundwe mwaka 1964 tukitambua umahiri wao katika kuiweka Tanzania yetu salama

Mimi naanza na Hawa wachache ninaowakumbuka

Twalipo
Musuguri
Kiwelo
Mayunga
Makunda
Mboma
Mabeyo
Mwamunyange
Shimbo
Waitara
Muhidini

Endeleza list yako sio vibaya pia katika kunogesha tukapata matendo yao ya ushujaa katika utumishi wao.

Tuwaenzi hawa kama Israel inavyowaenzi majenerali wake wa IDF wote wako wikpedia sisi tunashindwa nini?
Kiwelu siyo kiwelo, halafu ni unataka full generals au hata major General na Lt General? kwa uewelewa wangu Full Generals ni

Twalipo
Msuguri hakuwa Full General ila alikuwa Mojar General
Makunda siyo Full General
Mboma sawa
Mabeyo sawa
Mwamunyange sawa
Waitara sawa
Muhidini hapana
Kyaro
Msuguri
Sarakikya.

Baada ya rank hiyo wanafuata Lt General ambao ninawakumbuka ni

Idd gahu
Shimbo
Ryoba
Mwakibolwa
Sayore
Mnadhimu Mkuu wa sasa jina limenitoka
Ndomba
wakati wa jk kulikua na Lt general watatu active Ryoba, Ndomba na mwingine nimemsahau ila wote wamestaafu.
Mojor Generals wako wengi kwakweli nitakutajia wale maarufu
Mayunga
Mwakalindile
Meena
kijuu
kamazima
Luhanga
Lupogo
Luis alikua shombe
Walden shombe
said said Kalembo
Kimario
Isa muho??
Milanzi
james Luhanga
Muhuga
Farah Mohamed
Kevin Msemwa
Mlowezi
Charles Jitenga
Charles Mzanila
Daniel Igoti
Vicent Mritaba
Mwabulanga
Kyunga
Rwegasira
Juma Kapwani.
wanawake nawajua wawili
Grace Mwakipunda
Lilian Kingazi
Zawad sir name nimesahau kidogo.

Nimechoka list lakini bado wapo wengine



wengine walishatangulia
 
Umeropoka kifala
Mayunga, Waitara Walikuwa Balaa

Ila Mwamunyange Kaacha Historia Kubwa Kiasi Baada Ya Kubadili Jeshi Kuwa La Kisasa"

JWTZ Ndio Jeshi Linaloongoza Afrika Kufanya Operation Hatari Za Chini ( Vita Ya Chini) Kuliko Jeshi Lolote Lile"
 
Kiwelu siyo kiwelo, halafu ni unataka full generals au hata major General na Lt General? kwa uewelewa wangu Full Generals ni

Twalipo
Msuguri hakuwa Full General ila alikuwa Mojar General
Makunda siyo Full General
Mboma sawa
Mabeyo sawa
Mwamunyange sawa
Waitara sawa
Muhidini hapana
Kyaro
Msuguri
Sarakikya.

Baada ya rank hiyo wanafuata Lt General ambao ninawakumbuka ni

Idd gahu
Shimbo
Ryoba
Mwakibolwa
Sayore
Mnadhimu Mkuu wa sasa jina limenitoka
Ndomba
wakati wa jk kulikua na Lt general watatu active Ryoba, Ndomba na mwingine nimemsahau ila wote wamestaafu.
Mojor Generals wako wengi kwakweli nitakutajia wale maarufu
Mayunga
Mwakalindile
Meena
kijuu
kamazima
Luhanga
Lupogo
Luis alikua shombe
Walden shombe
said said Kalembo
Kimario
Isa muho??
Milanzi
james Luhanga
Muhuga
Farah Mohamed
Kevin Msemwa
Mlowezi
Charles Jitenga
Charles Mzanila
Daniel Igoti
Vicent Mritaba
Mwabulanga
Kyunga
Rwegasira
Juma Kapwani.
wanawake nawajua wawili
Grace Mwakipunda
Lilian Kingazi
Zawad sir name nimesahau kidogo.

Nimechoka list lakini bado wapo wengine



wengine walishatangulia
Mayunga, Mwakalindile na Meella(sio meena) wamestaafu jeshi wakiwa maluteni Jenerali
 
Uzi huu Ni kwa ajili ya kuwatambua majenerali wote wa JWTZ toka iundwe mwaka 1964 tukitambua umahiri wao katika kuiweka Tanzania yetu salama
Mimi naanza na Hawa wachache ninaowakumbuka
Twalipo
Musuguri
Kiwelo
Mayunga
Makunda
Mboma
Mabeyo
Mwamunyange
Shimbo
Waitara
Muhidini
Endeleza list yako sio vibaya pia katika kunogesha tukapata matendo yao ya ushujaa katika utumishi wao.
Tuwaenzi hawa kama Israel inavyowaenzi majenerali wake wa IDF wote wako wikpedia sisi tunashindwa nini?
Haina tija, kabla ya hao uliowataja hatukuwa na jeshi? Vyeo vya jeshi hukua kulingana na mahitaji ya wakati uliopo, sasa walioongoza kwa vyeo tofauti na hivyo wao unawaweka wapi? Na watakaoongoza kwa vyeo vyenye majina mkubwa zaidi ya haya ya sasa utawaweka wapi? Kwa kifupi wazo lako hakuna tija.
 
Aliyewatandika wale waliounguza nyumba ya kulala huko nyanda za juu, jina limenitoka.
 
Mayunga, Waitara Walikuwa Balaa

Ila Mwamunyange Kaacha Historia Kubwa Kiasi Baada Ya Kubadili Jeshi Kuwa La Kisasa"

JWTZ Ndio Jeshi Linaloongoza Afrika Kufanya Operation Hatari Za Chini ( Vita Ya Chini) Kuliko Jeshi Lolote Lile"

Pamoja na Sifa zako zote hizi ila sijui ni kwanini wanaliogopa sana Jeshi la Rwanda ( RDF ) Mkuu. Je, unaweza ukawa na majibu kwani unaonekana mambo haya ya Kimedani / Kijeshi Mwenzangu unayajua mno hivyo utakuwa Msaada kwa Sisi Mangumbaru ( tusiojua lolote ) ili basi na Sisi huko mbeleni tuje kuwa kama Wewe. Nitashukuru ukinijibu Mkuu juu ya hili.
 
Likilinganishwa na jeshi la lipi?Inamaana hata USA,wanakaa kwetu,basi sisi ni hatari,hakika kwa tulivyo baadhi yetu wa-Tanzania,timu yetu ya mpira wa miguu ingekua inacheza na hatujui imefungwa au haijafungwa,nadhani tungesema timu yetu ya mpira wa miguu ni timu bora kuliko timu yoyote tangu ulimwengu uumbwe,sijamaanisha tunayo tabia yakuji-mwambafai.
Umeambiwa Africa wewe wataja USA
 
Mbona viongozi wahandamizi wa polisi wakistaafu awasikikitena kama wenzao wa jwtz, yani uwezi ukamsikia Said mwema na ma IGP wenzake walio mtangulia au ma RPC nikwanini wakistaafu awapewi nyadhifa tena?
 
Mayunga, Waitara Walikuwa Balaa

Ila Mwamunyange Kaacha Historia Kubwa Kiasi Baada Ya Kubadili Jeshi Kuwa La Kisasa"

JWTZ Ndio Jeshi Linaloongoza Afrika Kufanya Operation Hatari Za Chini ( Vita Ya Chini) Kuliko Jeshi Lolote Lile"
Haliwezi kuzidi jeshi la Misri
 
Pamoja na Sifa zako zote hizi ila sijui ni kwanini wanaliogopa sana Jeshi la Rwanda ( RDF ) Mkuu. Je, unaweza ukawa na majibu kwani unaonekana mambo haya ya Kimedani / Kijeshi Mwenzangu unayajua mno hivyo utakuwa Msaada kwa Sisi Mangumbaru ( tusiojua lolote ) ili basi na Sisi huko mbeleni tuje kuwa kama Wewe. Nitashukuru ukinijibu Mkuu juu ya hili.
Wanaogopa jeshi la Rwanda! hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah. kweli ushabiki mbaya sana, Rwanda hawezi kupigana na Jeshi la Tanzania hiyo kitu haipo kabisa, uwezo huo hawana kabisaaa, Umeshau M23 kilichotokea? wako wapi? nani alikua anawa support? kwanini walikimbia na waka surrender? siku ukiona Rwanda wanajaribu kuichokza Tanzania ujue ndiyo mwisho wao. Kaguta tu akiamua anawasambalatisha. Nchi amabyo haina umoja ndani ya nchi na maadui kila kona technically wakianzisha vita ujue ndiyo mwisho wao, wengine hatusikilizagi propaganda za nyie wanyarwanda. Tunawajua ndani nje! na weakness zenu zote zinajulikana na kila adui zenu, au unataka nizianike hapa? sema vita haina faida kwa yeyote ni uharibifu. jeshi lenu linatiwa jambajamba na Burundi tu na ndiyo size yenu.

Subiri siku Kaguta akijawachoka mtaona mziki wake huyo anawatosha.
 
Umenifurahisha sana, huyu wa sasa sio mkuu wa majeshi bali ni mkererketwa wa chama cha mapinduzi, yeye akili yake kwa ccm tu ukimuunganisha na yule mwenzake igp siro
Huyo hamjui Afande Mabeyo, anasikiliza stories za vijweni! uliza ujue kwanza katokea wapi ndani ya jeshi. Mabeyo katokea alikotoka General Mwamunyange! jeshi liko makini hiyo mnayosema ni mambo watu wasioyajua. Kwani jeuri ya serikali inatoka wapi? unadhani ni ccm au jeshi? sasa jeshi litaogopaje chama cha siasa? acheni kudanganya watu hapa.njeshi la letu linaheshimu serikali na wananchi shida ya wengi napenda jeshi linalofanya fujo msiombee huo ujinga kabisa, angalieni maslahi mapana ya nchi.
 
Muwe mnafanya kwanza utafiti mnapotaka kutandaza uzi, maana yake, cheo na wadhifa ni vitu viwili tofauti.

Nadhani hapa ulimaanisha wakuu wa majeshi.

Generali ni cheo na kuanza kuitwa jenerali huanzia unapotunukiwa cheo cha u brigedia.

Kuweza kuwataja majenerali wote wa Jwtz ni ngumu, sababu ni wengi mno mpaka upate orodha yao toka Makao makuu ya Jwtz.

Mfumo wa vyeo vya majeshi wanaoutumia Jwtz ni vya mfumo wa majeshi ya Kiingereza.

Kuna majenerali watano wa nyota (star generals) kuanzia brigedia jenerali,meja jenerali, luteni jenerali, jenerali na marshal.

Pamoja na kuvaa vyeo vyao mabegani, pia majenerali hutambulishwa kwa kubandikwa nyota za ujenerali kwenye magari yao kwa idadi kulingana na cheo, pia kwenye kofia za cap wavaapo vazi la fatique(combat dress).

Cheo cha marshal kwa jeshi la Tanzania ndiyo cheo cha mwisho na hakijawahi kuvaliwa na afisa yeyote katika historia ya Jwtz tangia kuanzishwa kwake.

Kwa mpangilio niliokwisha uainisha, toka cheo cha brigedia nyota moja, meja jenerali nyota mbili, luteni jenerali nyota tatu, jenerali ni nyota nne na marshal cheo cha mwisho jeshini ni nyota tano.

Mkuu wa majeshi wa kwanza baada ya Tanganyika Rifles na kuwa JWTZ 1964, nitataja jina moja moja kwa mpangilio kuanzia wa kwanza hadi wa mwisho:

(1)Generali Sarakikya,(2)General Twalipo,(3)General Msuguri,(4)General Kiaro, (5)General Mboma,(6)General Waitara, (7) Generali Mwamunyange na (8)General Mabeyo.

Wote wapo hai isipikuwa mmoja R.i.p General Kiaro.
Ninasahihisha bandiko langu kuhusu wakuu wa majeshi wastaafu waliokwisha kutangulia mbele za haki, kwa idadi ni wawili. Ni Gen Twalipo na Gen Kiaro, samahani kwa usumbufu, wapumzike kwa amani, amina.
 
Uzi huu Ni kwa ajili ya kuwatambua majenerali wote wa JWTZ toka iundwe mwaka 1964 tukitambua umahiri wao katika kuiweka Tanzania yetu salama

Mimi naanza na Hawa wachache ninaowakumbuka

Twalipo
Musuguri
Kiwelo
Mayunga
Makunda
Mboma
Mabeyo
Mwamunyange
Shimbo
Waitara
Muhidini

Endeleza list yako sio vibaya pia katika kunogesha tukapata matendo yao ya ushujaa katika utumishi wao.

Tuwaenzi hawa kama Israel inavyowaenzi majenerali wake wa IDF wote wako wikpedia sisi tunashindwa nini?
Huyo ni Muhidini Ndolanga ama Muhidini yupi!? Kama una CV yakeyake na kwa ruhusa yake Muhidini , tuwekee hapa.
 
Major general Zawadi Madawili yupo wapi huyu mwanamama wa kwanza Africa kushika cheo cha Maj Gen.?
tapatalk_1569073173228.jpeg
 
Back
Top Bottom