Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Kwa mujibu wa gazeti la mwananchi la leo kuna zaidi ya wanafunzi 600 ambao walistahili kupata mkopo ambao hata hivyo wanatakiwa kufanya marekebisho kwenye form zao za mambi ndani ya siku 14 kabla ya kupatiwa mikopo yao.Majina ya wanafunzi hao yatatolewa kwenye site ya bodi.
Swali walikuwa wapi siku zote kuona kasoro hizo na badala yake wanaibuka leo?Au hii ndio mbinu ya kuwatosa?
Swali walikuwa wapi siku zote kuona kasoro hizo na badala yake wanaibuka leo?Au hii ndio mbinu ya kuwatosa?