Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Wabunge wengi wameingia Bungeni 2015 kwa chain ya Mh Jakaya Kikwete na Mzee wetu Kinana. Kwa nature ya CCM ya sasa na Rais Magufuli (na kwa kuepuka aibu ya kukatwa) kwa ujumla hawa wafuatao wajipange kisaikolojia kuhusu kutetea viti vyao 2020:-
1. Mh Nape
2. Mh. Ngeleja
3. Mh Kitwanga
4. Mh. Lusinde (Kibajaji)
5. Mh. Maghembe
6. Mh. Bashe
7. Mh. Nkamia
8. Mh. Sadifa
9. Mh. Simbachawene
10. Mh. Muhongo
11. Mh. January Makamba
12. Mh. Anna Tibaijuka
14. Mh. Kessi Ally
15. Mh. Badweli
Waanze kujiongeza kuepuka aibu.Huwezi kuchukua viraza wakati wasomi wapo majimboni!
1. Mh Nape
2. Mh. Ngeleja
3. Mh Kitwanga
4. Mh. Lusinde (Kibajaji)
5. Mh. Maghembe
6. Mh. Bashe
7. Mh. Nkamia
8. Mh. Sadifa
9. Mh. Simbachawene
10. Mh. Muhongo
11. Mh. January Makamba
12. Mh. Anna Tibaijuka
14. Mh. Kessi Ally
15. Mh. Badweli
Waanze kujiongeza kuepuka aibu.Huwezi kuchukua viraza wakati wasomi wapo majimboni!