Mzee wa ngano
Senior Member
- May 3, 2012
- 184
- 54
Ndugu zangu wakazi wa Tabora hotel au wale wageni waliokuwa na mazoea ya kufika na kulala Tabora hotel au kufanya starehe zao
Ndugu zangu wakazi wa Tabora hotel au wale wageni waliokuwa na mazoea ya kufika na kulala Tabora hotel au kufanya starehe zao
Mwanangu nilikuwa nataka niwape carrent news kuwa muda ule tulikuwa makaburi ya wahindi tunazika. Mambo yakaingiliana ndiyo maana ikawa hivyo. Bac bana jamaa tumemlaza Isevya kando ya kaburi la baba yake.Daaah, pole sana mkuu, maana umeshindwa hata kuandika ili ueleweke, huyu mzee kipi kimechukua roho yake