Bollo Yang
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 440
- 50
Hawa jamaa waendelee tu kuigiza zile nyimbo za injili wakijaribu kuiga za kiislamu patakua hapatoshi..wanaweza wakasomewa albadili
hahaha kwa jana lakini kidogo naona kama wamejitahidi ila wapunguze kuongea sana ..na mambo mengine wamezidisha utoto zaidi..
Punguzeni maongezi tunahitaji vitendo
Waende zao huko,nani kawaambia comedy inamaana ya kuiga vya watuu,embu watutolee ujinga wao,kama hawajaridhika na walichopata wasitegemee kupata tena,na hawatamuambukiza mtu ujinga wao!!
Unadhani kwenye nyimbo za kiislamu wataiga nini............. au kuvaa ijabu.......???????Hawa jamaa waendelee tu kuigiza zile nyimbo za injili wakijaribu kuiga za kiislamu patakua hapatoshi..wanaweza wakasomewa albadili
kaswida.Nyimbo za kiislamu ni zipi mbona sijawahi kusikia?
Mimi ni mkristo na nimempokea Yesu (mlokole)...lakini kwa kweli sibarikiwi kabisa na hii thread ambayo ina mwelekeo wa ku-undermine mitizamo mingine. Ukristo ninaujua mimi hauko hivi. Naomba Mungu awape neema mods ya kuliona hili na kuiondoa hii thread yenye kutaka kuleta makwazo yasiyo ya lazima. Praise God!Hawa jamaa waendelee tu kuigiza zile nyimbo za injili wakijaribu kuiga za kiislamu patakua hapatoshi..wanaweza wakasomewa albadili
..............mwalimu hebu waambie wanafunzi wako waache kupiga kelele,.....hakika hawa wakinyamaza mawe yatapiga kelele.........we waache hivo hivo maana imeandikwa kila ulimi utakili jina la Bwana Yesu.....watakutana na mwenyewe huko huko nao watakuwa wamoja katika zizi la wanakondooHawa jamaa waendelee tu kuigiza zile nyimbo za injili wakijaribu kuiga za kiislamu patakua hapatoshi..wanaweza wakasomewa albadili
Hawa jamaa waendelee tu kuigiza zile nyimbo za injili wakijaribu kuiga za kiislamu patakua hapatoshi..wanaweza wakasomewa albadili
Nyimbo za kiislamu ni zipi mbona sijawahi kusikia?
mbona mikwala imekuwa mingi hata nashindwa kujua mnazungumzia nini, udini au komedi???????..............mwalimu hebu waambie wanafunzi wako waache kupiga kelele,.....hakika hawa wakinyamaza mawe yatapiga kelele.........we waache hivo hivo maana imeandikwa kila ulimi utakili jina la Bwana Yesu.....watakutana na mwenyewe huko huko nao watakuwa wamoja katika zizi la wanakondoo
kaswida.
naskia ile nyimbo ilikuwa dongo lingine kwa Mengi baada ya kuanzisha mchakato wa kuanzisha Ze comedy wapya wa EATV...hahaha kwa jana lakini kidogo naona kama wamejitahidi ila wapunguze kuongea sana ..na mambo mengine wamezidisha utoto zaidi..
Punguzeni maongezi tunahitaji vitendo