ORIGINAL COMEDY, tawi la CCM....

EJM_

JF-Expert Member
Jul 8, 2011
3,836
2,091
Kwa muda mrefu nimeacha kuangalia vipindi vya origino komedi aka kina Joti kwasababu nilihisi wamekosa mvuto. Sasa leo nimepita kuangalia kidogo nikaona kama wamekuwa makada wa ccm vile. Cjui ndio hivyo au mtazamo wangu tu!
 
Aisee hela mbaya jamani.. Ukiiendekeza sana unaua kipaji..Thats why hata kwenye magazeti hawa jamaa wamepotea kabisa.. CCM nikama nuksani flani Vile.
 
Kwa muda mrefu nimeacha kuangalia vipindi vya origino komedi aka kina Joti kwasababu nilihisi wamekosa mvuto. Sasa leo nimepita kuangalia kidogo nikaona kama wamekuwa makada wa ccm vile. Cjui ndio hivyo au mtazamo wangu tu!

Supposing ni members wa CCM then what? Inaelekea wangekuwa CDM wewe roho yako ingekuwa kwatuu! Acha ushamba na intolerance yako
 
CDM hovyooo kweli kwa hyo ulitaka wawe Chadema badala ya CCM?. Mtahaha sana yan kila anaekuwa against na sera za chadema basi nh CCm kwanin asiwe cuf?
 
Kwa muda mrefu nimeacha kuangalia vipindi vya origino komedi aka kina Joti kwasababu nilihisi wamekosa mvuto. Sasa leo nimepita kuangalia kidogo nikaona kama wamekuwa makada wa ccm vile. Cjui ndio hivyo au mtazamo wangu tu!
Usicheze na njaa.
 
CDM hovyooo kweli kwa hyo ulitaka wawe Chadema badala ya CCM?. Mtahaha sana yan kila anaekuwa against na sera za chadema basi nh CCm kwanin asiwe cuf?

wa2 wengine hopeles kabisa, muone huyu naye... Kwani umeambiwa pia kila anaye kuwa against CCM ni CDM.
 
Supposing ni members wa CCM then what? Inaelekea wangekuwa CDM wewe roho yako ingekuwa kwatuu! Acha ushamba na intolerance yako

wewe nani amekwambia mtoa mada ni chadema, au kila anaye kuwa against CCM ni CDM...
 
I hate them all. Wao ni CCM D. Ccm B ni CUF
CCM C ni BAKWATA
CCM D ni wao
 
Kama ze comed ni ccm nawe hutaki fanya uwezalo warud ktk chama upendacho.Acheni ujinga wako kama wanakuboa ni wewe kaangalie futuhi au wale wa EATV.Acha ushabiki wa kijinga!
 
Supposing ni members wa CCM then what? Inaelekea wangekuwa CDM wewe roho yako ingekuwa kwatuu! Acha ushamba na intolerance yako
Ukisha jiunga na CCM uwezo wako wa kufikiri na kuchambua mambo unatoweka ghafla.
 
Supposing ni members wa CCM then what? Inaelekea wangekuwa CDM wewe roho yako ingekuwa kwatuu! Acha ushamba na intolerance yako

Nafkiri hukunielewa mzee, mtizamo wangu ni ingekuwaje kama vipindi vyote vingeendeshwa kwa mtindo huu wa political bending?
 
Ukisha jiunga na CCM uwezo wako wa kufikiri na kuchambua mambo unatoweka ghafla.

upupu mtupu, mnakimbizwa na ushabiki wenu na wala sio maslahi ya wananchi, kubali usikubali ni tabia ya kiafrika kumuona mtu mwenye wazo tofauti/mdala na la kwako kuwa hana akili, lini mtasitarabika? kuwa cdm wewe lazima ukubali wapo cuf,ccm,nccr, updp, wenye mtazamo na approach tofauti ingawa wote waweza lenga maendeleo. hivyo original commedy kwa mtazamo wao waheshimiwe, yaani utu wao, haki zao ktk kuamini jambo inastahili waheshimike na kama ni hoja ije kwa msingi unaokubalika si wa kidikteta. hebu wana cdm kuweni wastahimilivu hiyo ndiyo msingi pekee wa kuishi na kuamini demokrasia. jitahidini wakati wote kukijenga chama chenu kwa hoja ambazo (scientific), kwa lugha rahisi kwa kutumia ushahidi wa uzaifu wa vyama vingine ktk kuwashawishi watanzania na si kuburuzana na kuwafanya walio nje na imani yenu ni mashetani kwa uppande mwingine.
 
kuchekesha wameshindwa, sasa wameingia kwenye siasa, nako wakishindwa itabidi waanze kujipodoa na kuvaa magauni ili waponye njaa zao
 
Supposing ni members wa CCM then what? Inaelekea wangekuwa CDM wewe roho yako ingekuwa kwatuu! Acha ushamba na intolerance yako

ushamba wapi wasanii ni kioo cha jamii kama leo hii hawaiumbui serikali ya magamba inapoboronga kama awali walivyokua EATV unadhani nini kitaendelea hapo?
 
CDM hovyooo kweli kwa hyo ulitaka wawe Chadema badala ya CCM?. Mtahaha sana yan kila anaekuwa against na sera za chadema basi nh CCm kwanin asiwe cuf?

Mkuu tunachotaka wawe independent chama chochote kinapoenda vibaya wasisite kuigiza upupu wao na sio kuigiza upupu wa vyama vya upinzani tu
 
Kama ze comed ni ccm nawe hutaki fanya uwezalo warud ktk chama upendacho.Acheni ujinga wako kama wanakuboa ni wewe kaangalie futuhi au wale wa EATV.Acha ushabiki wa kijinga!

Nahisi wewe ndo mjinga
 
Ukisha jiunga na CCM uwezo wako wa kufikiri na kuchambua mambo unatoweka ghafla.

Kweli mkuu hebu angalia sasa walivyo hawana cha kuigiza kwa kushindwa kufikiria na Mungu alivyo mkubwa mambo yaliyoko mengi ya kuigiza ni ya ccm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom