Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 833
when will it stop?
Nyerere alikuwa hataki hizi publicities wanazompa leo na nashangaa akina Makongoro nao wameingizwa vipi kwenye hi trap
Ahh lakini wanasiasa tulionao ndio hao hao walioandaliwa na mwalimu so we are back sto square 1
Btw 70% ya waTanzania ni under 30 na watoto waliozaliwa 1992 leo wanaweza kupiga kura and all they are left with hi haya ma dinosaurs ambayo hayataki kupisha damu mpya na wengine wanataka kurudi
Nyerere alikuwa hataki hizi publicities wanazompa leo na nashangaa akina Makongoro nao wameingizwa vipi kwenye hi trap
Ahh lakini wanasiasa tulionao ndio hao hao walioandaliwa na mwalimu so we are back sto square 1
Btw 70% ya waTanzania ni under 30 na watoto waliozaliwa 1992 leo wanaweza kupiga kura and all they are left with hi haya ma dinosaurs ambayo hayataki kupisha damu mpya na wengine wanataka kurudi