Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Halafu ukiskiia wanasiasa wanavyongelea Natioanal ID kama mtatuzi wa mataozzo fulani sugu ya kiusalama unashindwa kushangaa kama hawa watu kweli wako well informed. au wamekaririshwa. Mmoja alisema natinal ID itasadia kwenye Kodi. mhhh
sitashangaaa kusikia maofisa waandamizi walisema hata hizi National ID ziatasaidia kukabiliana na UFISADI
sitashangaaa kusikia maofisa waandamizi walisema hata hizi National ID ziatasaidia kukabiliana na UFISADI