Organized Crime Rings za Tanzania zinafanyaje kazi bila kufumuliwa?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,475
39,991
Kwa yeyote anayefuatilia mambo ya intelligensia nchini atatambua uwepo na ufanyaji kazi of a highly developed, financed, equiped and politically connected criminal enterprise. Kashfa karibu zote kubwa kuanzia ya Chavda, Loliondo hadi utoroshaji wanyama a year ago zinahusisha watu walewale na karibu wizara zilezile au idara zilezile. Kama siyo Madini itakuwa Fedha na kama siyo hizo basi ni Nishati na Ulinzi au vitengo fulani. Na ukichora mstari utaona karibu wahusika wote wakuu wamepitia karibu wizara hizohizo. Kwamba kuna OCRs nchini halina shaka; kinachosumbua zaidi ni kuwa tumeshawishiwa kwamuda mrefu kuona kuwa uhalifu unaofanywa na magenge haya kuwa ni wa mtu mmoja mmoja na siyo kundi ambalo limekubuhu kwenye mambo haya.

Kwa kadiri kuna hela ya kutupwa na nafasi ya kuchota fedha hizo ipo ndivyo ujasiri wa OCRs unavyozidi kuvuka mipaka kwa kila siku iendayo kwa Mungu. Kwa vile kwa muda mrefu vyombo vyetu vya usalama vinaogopa kuvunja mitandao hiyo kwa nguvu ndivyo nayo (mitandao) inavyozidi kujichimbia katika vyombo hivyo na hivyo kuwa hatua kumi mbele. Najiuliza:

A. Uchumi wa Tanzania unaweza kuwa dalama mbele ya genge hili hasa kwa vile linahusiana na money laundering and illegal businesses?

B. Mahali ambapo the police and intelligence services have been highly penetrated and compromised tunaweza vipi kufumia mitanda hiyo bila kucompromise usalama wa maafisa wetu na wa nchi? (Fikiria kushindwa kuijamata Kagoda na Meremeta)

C. Kwenye nchi ambayo chama tawala na serikali have been compromised in reminiscent of NY City in the late 1960s unaweza vipi kugusa OCRs bila kugusa serikali na chama tawala?

D. How do u tame an "untamed lion"?
 
I hope haitofungwa hii thread

Kabla hatujaendelea

Naomba tuwekane sawa kidogo....

Unaposema wana usalama unamaanisha idara gani?

Can you be more specific?
 
It's more like "The Boardwalk Empire ", Nuckie Thompson was just a treasurer, not even the mayor!, his brother Elli was the sherrif.

Once you have those two, you have tha whole nine, hizo wizara nyingine au taasisi nyingine mizizi yake ni treasury na Home afairs.

We need a 1980s Giulliani.
 
Najumlisha wale wote wanaohusiana na internal security na national defences and security - civilian and non civilian entities.
 
Ila ile ya New York City miaka hiyo ilikwa ni mwisho wa lami Kigoma jaama, mwe!!!!!! Hadithi za kusimuliwa siku zote hazikolei vema sukari.
 
Najumlisha wale wote wanaohusiana na internal security na national defences and security - civilian and non civilian entities.

Ohooo kumbe ni generic

nilifkiri unamaanisha specific organ say jeshi la polisi au JWTZ etc

kama ulimaanisha vyombo vyote sawa.

Ungekuwa umelenga idara moja specific nadhani ningekuwa na zaidi

-peace
 
It's more like "The Boardwalk Empire ", Nuckie Thompson was just a treasurer, not even the mayor!, his brother Elli was the sherrif.

Once you have those two, you have tha whole nine, hizo wizara nyingine au taasisi nyingine mizizi yake ni treasury na Home afairs.

We need a 1980s Giulliani.
Man...JF was the last place I thought I would find BWE fans...man1 Today is just boring...no more BWE, The Walking Dead, Sonsof Anarchy, shows zilizobaki zote hazina mpango

Now remember Omar from the wire?

boardwalk-empire-michael-k-williams-1.jpg
 
Mkuu SlidingRoof, hebu lainisha lugha kidogo na sisi tuendelee kushiriki - mbona sijakuelewa kitu hadi hapo?

Mkuu umezama ghafla mno wakati MMM yeye alianza taratibu kwa swala ambalo liko wazi sana lakini lililojadiliwa kwa uhafifu wa hali ya juu katika jamii yetu inayosababishiwa kiro za kila aina kimaisha kutokana na matunda ya OCR inayohujumu uchumi wetu kila kukicha bila kuguswa.

Man...JF was the last place I thought I would find BWE fans...man1 Today is just boring...no more BWE, The Walking Dead, Sonsof Anarchy, shows zilizobaki zote hazina mpango

Now remember Omar from the wire?

boardwalk-empire-michael-k-williams-1.jpg
 
Man...JF was the last place I thought I would find BWE fans...man1 Today is just boring...no more BWE, The Walking Dead, Sonsof Anarchy, shows zilizobaki zote hazina mpango

Now remember Omar from the wire?

boardwalk-empire-michael-k-williams-1.jpg
He had a role too,...... Ha ha ha ! on that pic he was ready to work on a fool!! Damn thatshow is awesome!
Back to the topic, we need to take care of Hazina na home affairs, If you have a strong Treasury, money will be really tight.

Home affairs is self explanatory, put hardcore CPAs not some old cops. Just get in to the money.
 
Ohooo kumbe ni generic

nilifkiri unamaanisha specific organ say jeshi la polisi au JWTZ etc

kama ulimaanisha vyombo vyote sawa.

Ungekuwa umelenga idara moja specific nadhani ningekuwa na zaidi

-peace

Of course you know unaweza kuchagua kimojawapo say TISS for example?
 
A STRONG TREASURY FIRST, mengine baadaye ... Nani alitegemea Mfumuko wa bei kwenda 13% juu zaidi ya ile 6% ya hapo mwaka wa 2005 wakati jembe za kila aina tumewasheheni BoT na Hazina.

Ugonjwa hapa ni kwamba TUJIZUIE na VIMEMO na tuwachie wataalam wetu kutuendeshea uchumi nawirishi kwa kuegemea tu kanuni za taaluma zao kufanya kazi hiyo bila VIMEMO kuwatibulia mi-programu kila uchao na kulazimika kuanza upya mara kwa mara.

Ni vema tuelewe kwamba siku zote marekebisho ya uchumi ya nchi is NOT an EVENT, ni mchakato iliounganika na kuegemeana kiutekelezaji wake. Maadui wetu hadi hapo ni OCRs pamoja na VIMEMO kutoka juu.

He had a role too,...... Ha ha ha ! on that pic he was ready to work on a fool!! Damn thatshow is awesome!
Back to the topic, we need to take care of Hazina na home affairs, If you have a strong Treasury, money will be really tight.

Home affairs is self explanatory, put hardcore CPAs not some old cops. Just get in to the money.
 
He had a role too,...... Ha ha ha ! on that pic he was ready to work on a fool!! Damn thatshow is awesome!
Back to the topic, we need to take care of Hazina na home affairs, If you have a strong Treasury, money will be really tight.

Home affairs is self explanatory, put hardcore CPAs not some old cops. Just get in to the money.

And Obama's favorite TV show right now is. You guested it.

Obama a fan of "Boardwalk Empire," "Homeland" - Yahoo! News

Mayn! NuckY knows about Al Capone and Luciano and that he may have to fight them in the future thats where the butcher comes in, and while he didn;t kil his brother i bet once his brother pleads guilty and goes to jail he ends up spending alot more than two years. He may be blood but that betrayal will not go unpunished. while every one is thinking 3 moves ahead nuck is seeing seven, im loving how he moves...Too bad HBO hawajasema season 3 inaanza lini but we will have GAME OF THRONES in April in the meantime..they have some shitty shows to keep us going.

Ohhh crime in TZ? I guess it starts from the top. Since we are not interested in transparency then we should forget about fighting Organised crime and funny pple are becoming smarter as time goes by so its more about white collar crime than anything else...CPA's wont make a difference.
 
MMK, kwa kawaida kila mahali panapokuwa na organized crime kama hizi mahali popote kunakuwa na kundi moja ambalo linaibuka na kuwa na nguvu kuliko makundi mengine. Ingawa avumaye baharini ni papa, kumbe kunakuwa na wengine pia, lakini wanakuwa ni wadogo sana kuweza kumtishia papa.

Kukiwa na makundi mengi yenye nguvu zinazolingana au kukaribiana, mara nyingi nchi inaingia kwenye anarchy, hali kam ambayo imekuwa ikiinyemelea Mexico.

Hapa kweli hilo kundi kubwa limeibuka toka kwenye chama tawala. Kwa kurithi mfumo wa chama kushika hatamu, ambapo vyombo vyote vya ulizi vilikuwa controlled na chama, genge hilo pia limejipenyeza kwenye vyombo vyote vya usalama kama sehemu ya chama na hivyo linafanya shughuli zake kwa kisingizio cha maslahi ya chama.

Ni vigumu sana kuondoa crime kama hizo kwa sababu vyombo vya usalama ambavyo vinapaswa kufanya kazi ya kufight crime, ndivyo vimekuwa maajent wa kulinda na kufanya crime zenyewe.
Nchi nyingi zilizokuwa na magenge kama hayo, eg Mafia - Italy, imekuwa vigumu sana kuayaondoa kwa sababu yenyewe ndo yanadirect shughuli za kiasiasa na uongozi wa nchi.

Mapambao yetu ni magumu na makali, lakini hatimaye tutashinda.
 
Mkuu SlidingRoof, nadhani ufafanuzi ulioombwa hapo juu unaweza ukautoa hata kesho, keshokutwa hivi wala si mbaya sana kwani haraka haraka kwetu huku hukosa baraka; 'time is money' ni ya akina waleee!!
 
Let me sleep over this majaaliwa itabidi tuiangalie kwa karibu isije kuwa tunapiga kelele ndani ya maji.
 
Tunaruhusu kujenga uchumi wa kimafia taratibu taratibu. Tutaishia kule waliko Italy leo...ICU ya uchumi unaotaka kuanguka. Tanzania ya sasa ijengwe katika misingi kwamba kazi za kitaalamu ziendeshwe na wataalamu na wanasiasa waendelee na porojo zao.
Ni dhahiri kwamba hata hii inflation inaletwa na kuruhusu baadhi ya mambo muhimu kuendeshwa kinyume na taratibu za kufanya kazi.
 
Back
Top Bottom