mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
kwa kweli hawa vijana nawakubali sana.naona kama wana upeo mpana sana wa masuala mbalimbali ya kijamii,kisiasa na kiuchumi pia...nimfano w akuigwa kwa watangazaji wengine kwenye tasnia hii ya uandishi.
kwa wale msiowafahamu..wanatangaza kipindi cha morning magic kwenye radio ya Magic FM 92.9M (DSM) na huruka hewani tangu saa 12 hadi saa 3 asubuhi.Huwa wanachambu amagazeti kwa utashi w ahali ya juu kuanzia saa 12.30 hadi saa 1 kamili..then huwa wanachagua mada mojawapo iliyomek headline (wanaita kupaka rangi) kwanza wanaijadili waoooo....kwa undani sana na kwa uhuru wa hali ya juu then wanaruhusu wasikilizaji kupiga simu.....they have a brain
hivi clouds bado ipo?hahaaa
kwa wale msiowafahamu..wanatangaza kipindi cha morning magic kwenye radio ya Magic FM 92.9M (DSM) na huruka hewani tangu saa 12 hadi saa 3 asubuhi.Huwa wanachambu amagazeti kwa utashi w ahali ya juu kuanzia saa 12.30 hadi saa 1 kamili..then huwa wanachagua mada mojawapo iliyomek headline (wanaita kupaka rangi) kwanza wanaijadili waoooo....kwa undani sana na kwa uhuru wa hali ya juu then wanaruhusu wasikilizaji kupiga simu.....they have a brain
hivi clouds bado ipo?hahaaa