Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 44
The voting for approving the budget is underway. The oppossition has abstained! More details to follow
Asha
Asha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
The voting for approving the budget is underway. The oppossition has abstained! More details to follow
Asha
MaCCM hayaelewi juu ya utaratibu huu wa kuabstain ,japo vyombo vya kieletronic vilivyopo bungeni vinaprovide hiyo choice.
Naona Wangwe anamuwashia moto MZEE MALECELA kwa kusema kuwa wapinzani hawaalikwi Mtera na katumia ibara ya kikatiba ,japo kapigwa changa la moto na spika kuwa kwenda mtera sio haki za msingi.
CHEYO kakubali ndio peke yake na hili linaashiria kitu gani?
Kwani mchana Kambi ilikaa na kukubaliana kuwa watapiga kura ya abstainance
CHEYO kakubali ndio peke yake na hili linaashiria kitu gani?
Kwani mchana Kambi ilikaa na kukubaliana kuwa watapiga kura ya abstainance
Inaashiria katumia haki yake ya kidemokrasia...
The voting for approving the budget is underway. The oppossition has abstained! More details to follow
Asha
Kwenda mtera ndo kufanyaje wajameni huenda am missing the point here?
On another note, naona bado kuna mawazo yaleeee ya chama kimoja na chama kushika hatamu na utamu hapo hapo
At last amefuata utaratibu:
Ametangaza kura za ndio ni 241
Kura za Abstain 35
Kura za hapana 0
Kwa kuwa wale wabunge wa CCM wamezidi 2/3 ambayo ilikuwa ni 212, bajeti ya serikali imepitishwa na bunge!
Spika amesema Malecela yuko sahihi tu kusema wapinzani wameingia MITINI, tofauti na Chacha Wangwe aliposoma kifungu cha katiba kinachoonyesha kuwa Malecela alifanya ubaguzi wa kisiasa!
Asha
Inaashiria katumia haki yake ya kidemokrasia...
Wabunge wa CCM waliotengeneza vichwa vya habari kwa kuongea kwa ukali wakichangia hii bajeti, walisema ni nini kinawaudhi kwenye hii bajeti?
Na kwanini wamepiga kura ya ndio?
Je waliainisha kwa nini watapiga kura gani?
Kuna mtu ana hotuba nzima ya Kilango Malecela?
Wabunge wa CCM waliotengeneza vichwa vya habari kwa kuongea kwa ukali wakichangia hii bajeti, walisema ni nini kinawaudhi kwenye hii bajeti?
Na kwanini wamepiga kura ya ndio?
Je waliainisha kwa nini watapiga kura gani?
Kuna mtu ana hotuba nzima ya Kilango Malecela?
Kuhani taratibu mzee...Unakamata watu pahala pabaya!
Ila kwa utaratibu huu...Wazalendo waweza ibuka KIDEDEA!