Opposition parties leaders have become development opposers

Haujui kupambanua mambo jifunze kwanza kabla ya kuja barazani, CCM wenyewe wanamsifu Magufuli na kuwasema watangulizi wake kuwa walishindwa, wewe unaisifu CCM iliyoshindwa miaka yote na Magufuli ameyaweza.
Uwezo wa utendaji si wa chama ila ni wa mtu binafsi.
Lakini ccm iliyoshindwa ni hii hii ya Magufuli au kuna nyingine?
Uzuri wake magufuli katika ubunge wake kwa miaka ishirini akitumika pia kama waziri.
Sasa kama Tanzania ilikwamishwa katika mambo mengi ni ccm iliyoakwamisha na afadhali ya ccm ya nyuma kwa hii ya sasa ni kwamba serikali ilijitofautisha na chama na ku act kama serikali kwa wote vila ubaguzi wa uchama, udini , ukabila nk.
Hii ccm ya sasa imeshindwa kabisa kujitofautisha na kinachoendelea sasa ni mlio wa mbali kuondoa kabisa umoja wa kitaifa na mshikamano uliodutoka uhuru wa taifa hili.
Chuki inakuzwa kila uchwao na nibasema haya nikiwa nakiri kutokuwa na maslahi katika kikundi chochote cha kiitikadi. Mimi ni mjasiria malininaetegemea kazi zangu binafsi lakini nikitizama kwa jicho la tatu naona amani ikimomonyolewa na mahala pake kuchukuliwa na hofu na uoga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We Tanzanian have to think broadly the role of opposition parties leaders for the development of our nation. We sincerely love opposition parties and their leaders, but these leaders have changed. Now they have stood far away from our nation interests, they have stood far away from us development lovers. This is shame of having the brain which can not think before taking an action.

We call lack of wisdom. Having a leader who can not process things in his brain and analyse by using SWORT analysis technique it's like having a blind leader who his heart and brain has no ability to see. Totally have negative vision about the nation, and if we would give him a power for really he will lead us to the pit. We Tanzania we will stand together for the development of our nation. No one man with a sane mind could accuse or talk badly his or her house to his or her neighbourhood.

Basi kama ndio hivyo ilivyo, Rais Magufuli anatosha kwasasa kuleta mabadiriko ya kweli Tanzania, kwasababu ya utendaji wake wa kazi. Rais Magufuli anafanya kazi kwa nguvu zake zote na kwa bidii sana, anajituma, for really he deserves to be the president of Tanzania and the whole Africa, his part Chama Cha Mapinduzi deserves to win the election again and again.

I can say that for CCM leaders and members have high level of integrity than Opposite parties members. We folks, we people we will vote for CCM ever and ever again and again. We do not need the kind of parties which do not have development strategies, no positive vision, development opposers. It has finally reversed nowdays opposition parties to become development opposers. This is shame

What shame are they these opposition parties folks. They do not need development, in their minds they have claimed that politics is a controversy or argumentative that is why they usually think to argue or criticise negatively if not to controve. They should to change their kids minds, by altering their altitude. They want us to believe that our lovely president is going against the constitution while themselves they are breaking our consitution and they are still going against our constitution words.

Going to the other nation which is not our nation and start accusing our nation and our lovely leaders is an evel and totally you are going against our constitution. Some of opposition part leaders they swore before the parliament speaker that " I hereby certify that, I will be loyal to the United Republic of Tanzania and serve it wholeheartedly, and that, I will preserve and defend the Constitution of the United Republic of Tanzania, in accordance with the law enacted, Oh God help me".

That is shame LOL, for pretending to people that they have particular moral beliefs while they are the first charmer, deceiver and hypocrisy. They have already forgotten their swear and the constitution. I could say that you have started early to break the constitution and if we would decide to give you the power you will continue to break. We love Chama cha Mapinduzi because it has changed. Everything is going right now in Tanzania. And President Magufuli is going to rule again in Tanzania, because he's self-motivated, integrity and honest president in the whole Africa in this century.

Because of that reason, He deserves to win the coming election on October and he will be the President again and again. What I can say is that, opposition parties in Tanzania don't have policies, nor strategies. This show us that they want to lead Tanzania but they do not know what kind of thing they are going to lead because instead of opposing bad things which are or could be done by the ruling government, they have changed and started to oppose development. Opposing development done by fifth Government of President Magufuli had made opposion parties to go perpendicularly with the Tanzanian citizens need.

Tanzania citizens need development, need progress and not propaganda from the mouth without action. We folks, we need better hospitals, better roads, money, fund, because no money no development, electric trains, better education, better communication, better financial services, proper management of natural resources, we need enough electric current to light our homes, roads, villages, and to power our industries, we know that, industries gonna provide us and our future generation employment. All those, I've mentioned have done by President Magufuli. You opposition parties tell us which you could do, than President Magufuli.

We need positive policies which gonna change our communities in Tanzania and not negative one which could bring poverty in Tanzania. Tanzania need progress, always progress, does not move in a straight line, there should be some ups and downs. Our President has promised us industries, then don't rush you have to wait, because you could not construct an industry for one day as you think. Even if, we citizen decide to give you a power to rule our nation, you opposition part, you gonna never bring us development per ones. You will always take number of years.
Maendeleo ya nchi sio kuwa na ndege , madaraja ya fly over au majengo marefu ya ngorofa , Maendeleo yawe kwenye watu ikiwemo demokrasi -- Mwl JK NYERERE
 
Uzi kama huu unafaa uchangiwe bila mihemko wala hisia.

Members of opposition parties in Africa should learn to put interest of their nations above everything else, above party politics, above their self interest. Patriotism is very important, they should learn that economic development of a nation supersedes everything else.

Maskini vijijini kufikiwa na madawa, chakula cha uhakika kwa kila mwananchi, elimu ya bure, umeme kuwafikia wananchi wote, usalama kwa kila mwananchi, maji safi kwenye mabomba, barabara zilizonyooka, sera bora za umiliki wa ardhi, ajira kwa kila mmoja, usawa kwenye jamii yote haya muheshimiwa Magufuli amepania kuhakikisha uwezekano wake.

CC: Zitto
We must have a system which is inclusive if opposition leaders are to join hands with the ruling party for the betterment of our nation. The way things are opposition parties have been completely sidelined, they are not even allowed to hold internal meetings let alone public rallies. In other words, they have been forced by circumstances to air their grievances to outsiders who may have some leverage on our current leaders
 
Uzi kama huu unafaa uchangiwe bila mihemko wala hisia.

Members of opposition parties in Africa should learn to put interest of their nations above everything else, above party politics, above their self interest. Patriotism is very important, they should learn that economic development of a nation supersedes everything else.

Maskini vijijini kufikiwa na madawa, chakula cha uhakika kwa kila mwananchi, elimu ya bure, umeme kuwafikia wananchi wote, usalama kwa kila mwananchi, maji safi kwenye mabomba, barabara zilizonyooka, sera bora za umiliki wa ardhi, ajira kwa kila mmoja, usawa kwenye jamii yote haya muheshimiwa Magufuli amepania kuhakikisha uwezekano wake.

CC: Zitto
Hivi interest ya "their nations" in this context inaweza kuwa ni nini? tatizo mmekuwa too spinning na sasa watu wanawachora tu. Kwa mfano, kama nchi iliomba mkopo kwa ajili ya watoto wa kike kwanini wengine wabaguliwe ilhali wao wenyewe na wazazi wao, watahusika pia kuulipa huo mkopo?
 
Kama hii ndio furaha yako, na unapost bila wasiwasi hesabu kuwa wewe una tatizo ndugu yangu, tena tatizo kubwa sana.

Tuseme kweli ana tatizo, wewe unateseka na matatizo yake hayo?

Hembu jibu hoja za ubaguzi was chama tawala hasa kwenye hili la wao tu ndo wenye mamlaka ya kufanya mikutano na vikao viwe vya ndani au vya nje. Ni kina Bashiru tu ndo wakufanya wengine wakithubutu tu hata kuwaza kikao wabawekwa ndani.

Matokeo yake ndo haya inawalazimu vyama vingine kufanyia vikao vyao nchi jirani. Huo kwako wewe sio ubaguzi ubaguzi kwako Ni kuzuia maslahi ya chama tawala eti?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maendeleo ya nchi sio kuwa na ndege , madaraja ya fly over au majengo marefu ya ngorofa , Maendeleo yawe kwenye watu ikiwemo demokrasi -- Mwl JK NYERERE
Wewe umekaririshwa ndio maana AFRIKA hatuendelei kwa kuwa na watu wenye mawazo kama yako ndugu. Anzia kwenye ngazi ya familia mkuu, utaitambuaje familia iliyo endelea? Mfano kwanini mtu anasema familia yangu haina maendeleo?
 
Tuseme kweli ana tatizo, wewe unateseka na matatizo yake hayo?

Hembu jibu hoja za ubaguzi was chama tawala hasa kwenye hili la wao tu ndo wenye mamlaka ya kufanya mikutano na vikao viwe vya ndani au vya nje. Ni kina Bashiru tu ndo wakufanya wengine wakithubutu tu hata kuwaza kikao wabawekwa ndani.

Matokeo yake ndo haya inawalazimu vyama vingine kufanyia vikao vyao nchi jirani. Huo kwako wewe sio ubaguzi ubaguzi kwako Ni kuzuia maslahi ya chama tawala eti?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mlipaswa kusubiri kipindi cha utawala wenu, waacheni wao wafanye maana wao ndio wameshika nchi. Hata nyie mkipewa nchi sizani kama mtawaruhusu wafanye mikutano,
 
Hivi interest ya "their nations" in this context inaweza kuwa ni nini? tatizo mmekuwa too spinning na sasa watu wanawachora tu. Kwa mfano, kama nchi iliomba mkopo kwa ajili ya watoto wa kike kwanini wengine wabaguliwe ilhali wao wenyewe na wazazi wao, watahusika pia kuulipa huo mkopo?
Kwahiyo ulitaka awatangazie hadharani kuwa atawapatia ili wapate mimba, mimi kwa akili yangu naelewa alikua na nia ya kuwa motivate watoto wasome shule. Kwani umewahi sikia kuna mtoto mwenye mimba ambaye ameachishwa masomo? Tatizo Lipo kwa wapokeaji wanaoshindwa kupambanua mambo kwa kutumia macho ya rohoni. Mimi kauli kama hizo nimezitumia sana ili kuwa motivate wanangu, kuwa ukipata mimba hapa nyumbani nakufukuza, hizo ni kauli za kujihami ili kummotivate mtoto, lkn akisha pata haimaanishi nitamfukuza kweli. Hata shuleni tunazitumia mno kwa wanafunzi wetu lengo ni kuwa motivate. Akili za kuambiwa mkuu changanya na zako
 
Which development are you talking about?In Tanzania there's no development there is underdevolopment caused by green Lucifer very dangerous blood sucker.
 
That English now, I would rather you put your thread in Kiswahili!!

Sijawahi kusikia mpinzani akisema hataki reli ya SGR (anaweza kusema si kipaumbele au ujenzi ushirikishe sekta binafsi) au barabara zisijengwe au shule na huduma za afya zisiboreshwe. Au maji yasitolewe au ajira zisiongezwe. I repeat, no opposition politician has ever done what you are accusing them of!!

Self-righteous spirits, grandstanding and intolerance ndio matatizo makubwa ya CCM. Hamfahamu kuwa kiasili binadamu wanawaza tofauti. Hata mkiwekwa CCM wenyewe na mkapewa uhuru wa kuweka mawazo yenu wazi bila woga - kutakuwa na mawazo tofauti!!
 
Haujui kupambanua mambo jifunze kwanza kabla ya kuja barazani, CCM wenyewe wanamsifu Magufuli na kuwasema watangulizi wake kuwa walishindwa, wewe unaisifu CCM iliyoshindwa miaka yote na Magufuli ameyaweza.
Uwezo wa utendaji si wa chama ila ni wa mtu binafsi.
Acha ujinga wewe wale wanamsifu ili waendeelee kumpiga maana washajua kubwa la majinga ukilisifu tu lenyewe linakumwagia pesa au mavyeo.Wanaolisifu jiwe ni wale wenye njaa ya vyeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo ulitaka awatangazie hadharani kuwa atawapatia ili wapate mimba, mimi kwa akili yangu naelewa alikua na nia ya kuwa motivate watoto wasome shule. Kwani umewahi sikia kuna mtoto mwenye mimba ambaye ameachishwa masomo? Tatizo Lipo kwa wapokeaji wanaoshindwa kupambanua mambo kwa kutumia macho ya rohoni. Mimi kauli kama hizo nimezitumia sana ili kuwa motivate wanangu, kuwa ukipata mimba hapa nyumbani nakufukuza, hizo ni kauli za kujihami ili kummotivate mtoto, lkn akisha pata haimaanishi nitamfukuza kweli. Hata shuleni tunazitumia mno kwa wanafunzi wetu lengo ni kuwa motivate. Akili za kuambiwa mkuu changanya na zako
Wewe ndiye uchanganye na zako. Unafikiri urais wa nchi ni sawa na ukiranja au umwalimu mkuu?
 
Back
Top Bottom