Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,241
Habari hii iko kwenye gazeti mahili la ThisDay. Je, uamuzi wa kubadilishwa na kuwekwa kipengele kama hiki 113 (10) katika kanuni za Bunge kuna ubora gani au kuna athari gani kwenye kambi za upinzani Tanzania?!
Kuna wengi walipinga na kuhoji kwa nguvu pale Mh. Zitto alipoteuliwa kwenye kamati ya madini (report inasubiriwa kwa hamu), na kuna wengi pia walipinga na kuhoji uteuzi wa Mh. Mwakyembe kwenye kamati ya Richmond kabla ya matokeo yake kutolewa na kusababisha kuporomoka kwa baraza la mawaziri kwa vile tu alikuwa anatoka chama tawala. Sasa je hoja kama hizi zitumike hapa pia?...
SteveD.
Kuna wengi walipinga na kuhoji kwa nguvu pale Mh. Zitto alipoteuliwa kwenye kamati ya madini (report inasubiriwa kwa hamu), na kuna wengi pia walipinga na kuhoji uteuzi wa Mh. Mwakyembe kwenye kamati ya Richmond kabla ya matokeo yake kutolewa na kusababisha kuporomoka kwa baraza la mawaziri kwa vile tu alikuwa anatoka chama tawala. Sasa je hoja kama hizi zitumike hapa pia?...
Source link: http://www.thisday.co.tz/News/3679.htmlOpposition MPs to lead key Bunge committees
-Zitto, Slaa, Cheyo, Hamad Rashid all named as front-runners
THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
A NUMBER of leading opposition members of parliament are set to be given chairmanship positions in sensitive parliamentary sub-committees following the adoption of new National Assembly standing orders which give the opposition camp in parliament an exclusive mandate to head such committees.
According to THISDAY's findings, high-riding opposition MPs now in line for chairmanships in some of the committees include Zitto Kabwe (Kigoma North - CHADEMA), Dr Wilbrod Slaa (Karatu-CHADEMA), John Cheyo (Bariadi East-UDP), and Hamad Rashid Mohamed (Wawi-CUF).
The new parliamentary standing orders as prescribed under section 113 (10) require that opposition MPs head committees that deal with monitoring public expenditure, public institution and local government accounts.
Names which are being particularly singled out include that of Kabwe, touted to chair the newly-established Public Organizations Committee (POC) which will deal with institutions like the Bank of Tanzania (BoT), the National Social Security Fund (NSSF), and others.
Dr Slaa is a frontrunner to head the Parliamentary Local Authorities Accounts Committee which will scrutinize how all regional and district councils make use of taxpayers' monies.
Meanwhile, a tug-of-war is building up between Cheyo, the incumbent parliamentary Public Accounts Committee chairman, and Hamad Rashid who is now vying for the seat.
According to well-informed observers interviewed by THISDAY, Hamad Rashid is seen to be in a good position to wrestle the PAC chairmanship from Cheyo, who is believed to have become less avid in questioning irregular government expenditure in recent times.
The House Speaker, Samwel Sitta, confirmed to THISDAY yesterday that opposition MPs will indeed head the three powerful committees following adoption of the new standing orders.
Sitta said House rules endorsed by parliament at the last session have become effective and are applicable from today, when the committees start meetings in Dar es Salaam.
''The parliamentary standing orders are already in place and take effect when the parliamentary committees begin their meetings for the elections of chairpersons for various committees,''' he said.
Yet another fierce battle is expected when outspoken CCM legislator Anna Kilango Malecela (Same East) takes on the former good governance minister Wilson Masilingi (Muleba North-CCM)) for the chair of the Parliamentary Ethics and Privileges Committee.
Ms Malecela is touted as favourite to win the seat.
SteveD.