Llio 002
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 1,615
- 2,031
Wataalamu wa technologia kuna simu inaitwa Oppo Reno 5 ninetokea kuipenda sana japo.sijawahi kutumia simu za aina ya Oppo.
Kwa muda huu natumia Samsung galaxy a50 lengo langu nataka nipate simu itakayokuwa bora zaidi ya hii nnayo itumia ndio nikatokea kuiona hiyo Oppo.
Naombeni mnisaidia jee mnaionaje? Inaweza ikapambana au kuizidi samsung galaxy a80? Please naombeni msaada tafadhali.
Kwa muda huu natumia Samsung galaxy a50 lengo langu nataka nipate simu itakayokuwa bora zaidi ya hii nnayo itumia ndio nikatokea kuiona hiyo Oppo.
Naombeni mnisaidia jee mnaionaje? Inaweza ikapambana au kuizidi samsung galaxy a80? Please naombeni msaada tafadhali.