msondomba
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,821
- 2,252
Uyo atakua alinunua mchina .. mm ninayo Samsung A21s iko poa sanaUmewahi kutumia A series ipi na ipi? Usiandike kishabiki tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyo atakua alinunua mchina .. mm ninayo Samsung A21s iko poa sanaUmewahi kutumia A series ipi na ipi? Usiandike kishabiki tu
Mhhh wakati mm ninayo A21s 470,000 duka la samsung mlimani city.Kuna jamaa anauza A52 makubusho sh 320,000/= Labda ndio aliyokuwa nayo mdau.
Kwani mkuu unatumia simu gani? Maana huu mjadala wenu nmebaki 😂😂😂Shida yako wewe na wenzio ni ujuaji. Mimi natumia simu simu hainitumii mimi. Sina muda wa kupoteza na uchambuzi wako wa Specs za Simu. Mimi nimekwambia A Series kwangu mimi naona ni simu za Hovyo lkn wewe unanilazimisha nizikubali, why? Hata Magari sio kila mtu anapenda BMW na sio lazima yaani.
Kwanini hujairudisha Samsung? Na simu ina warranty ya miaka 2?Usikumbushe maumivu Mkuu enhe Nilikuwa na Samsung A21s nimeitumia miezi 3 tu, ika-stuck; yaani huwezi kufanya chochote hata kuizima, labda iishe batery. Kuwapelekea wataalam nikaambiwa 'mashine imefeli'. Niko na Mchina mwenyewe VIVO napeta tu. Ila Oppo ni simu nzuri sana.
Oppo ni next level. Mimi Nina oppo A9 2020Wataalamu wa technologia kuna simu inaitwa Oppo Reno 5 ninetokea kuipenda sana japo.sijawahi kutumia simu za aina ya Oppo.
Kwa muda huu natumia Samsung galaxy a50 lengo langu nataka nipate simu itakayokuwa bora zaidi ya hii nnayo itumia ndio nikatokea kuiona hiyo Oppo.
Naombeni mnisaidia jee mnaionaje? Inaweza ikapambana au kuizidi samsung galaxy a80? Please naombeni msaada tafadhali.
Ninatumia Redmi kwa SasaKwani mkuu unatumia simu gani? Maana huu mjadala wenu nmebaki 😂😂😂
Za Kariakoo na Makumbusho wenyewe wanaita "Garantii" ni wiki 2 tuu🤣🤣🤣Kwanini hujairudisha Samsung? Na simu ina warranty ya miaka 2?
Refurb most of time ni simu ya zamani, ni rare sana kukuta simu mpya hasa low end kuwa refurb.Za Kariakoo na Makumbusho wenyewe wanaita "Garantii" ni wiki 2 tuu🤣🤣🤣
huyo mshamba tu ashazoe vi A series vyake vya 10s anadhani zote zipo hivoUmewahi kutumia A series ipi na ipi? Usiandike kishabiki tu
kuanzia A70 mkuu hatajutiaaaila ww jamaa unapewa facts bado huelewi Samsung A series ni nzuri kwanzia a80 + a51 ila chini ya hapo n majanga
Kuna hii OnePlus nord 2 nimependa muonekano huko zinapatikana?Simu nyingi za Oppo zinauzwa ghali kuliko Samsung, sub brand za BBK kama realme, iqoo na Oneplus Mara nyingi ndio zinakuwa na Simu nzuri kwa bei reasonable.
Ndo imeanza jana kuuzwa nafikiri, ni simu nzuri, zimetoka tatu Nord 2, N200 na CE.Kuna hii OnePlus nord 2 nimependa muonekano huko zinapatikana?
Kumbe shida yako ni kwamba unazichukia A series,kama wengine wanacyozichukia tecno,infinix na apple.Umaelewa nini maana ya Mtazamo wa Mtu. I Phone ni simu mbaya? Lakini mbona sio wote wanaozikubali? Mimi nishasema A series zote kwa mtazamo wangu sijazipenda sasa nyinyi mnataka kunilazimisha nizipende Shida yenu nini?
Wala sio kweli kwamba kuanzia a80 ndio misumari.ila ww jamaa unapewa facts bado huelewi Samsung A series ni nzuri kwanzia a80 + a51 ila chini ya hapo n majanga
Kama ambavyo hatuwezi kukwambia kitu kwenye infinix.Tatizo kuna watu humu wako "Brainwashed" yaani huwambii kitu kuhusu hizo Samsung.
HahahahaKama ambavyo hatuwezi kukwambia kitu kwenye infinix.
Mnaotaka Ligi ni nyie,ilikuwa vizuri mngeniignore tuu. A series ni Simu za hovyo kwa experience yangu. PERIODKumbe shida yako ni kwamba unazichukia A series,kama wengine wanacyozichukia tecno,infinix na apple.
Lakini chuki yake haizifanyi hizo simu kuwa mbovu.
Unasema umetumia A52,ni simu huipendi kwa sababu zako tu,ila kusema ni simu mbaya generally ni kutafuta ligi tu humu.
Mimi sio Level za Infinix. Kuwa offended na online opinions za mtu usiyemfahamu ni dalili kubwa sana ya stress na tabia ya watu brokeKama ambavyo hatuwezi kukwambia kitu kwenye infinix.