Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,470
- 37,713
Bora umemwambia.Acha kufananisha OPPO na vitu vya kijinga tafadhali sana Chifu
Bora umemwambia.Acha kufananisha OPPO na vitu vya kijinga tafadhali sana Chifu
zote ni mtk,lkn mtk ya oppo imechangamka ila tatizo labda kutopata update.ww bajeti yako ni ngapi ili tukushauri uchukue oppo ipiSichukui infinix. Nimeshtuka
400,000/=zote ni mtk,lkn mtk ya oppo imechangamka ila tatizo labda kutopata update.ww bajeti yako ni ngapi ili tukushauri uchukue oppo ipi
Hio oppo A31 Ina Helio p35 sawa na Samsung A12, ambayo unaipata around laki 3. Why ununue Mchina BEI ghali?400,000/=
Nimekusoma mkuuHio oppo A31 Ina Helio p35 sawa na Samsung A12, ambayo unaipata around laki 3. Why ununue Mchina BEI ghali?
Rule ya kwanza kununua simu ya kichina angalau ikupe mambo mengi kuliko brands kubwa at same price point. Inapotokea Mchina anauza ghali zaidi achana nayo unapigwa.
Kwa hio budget Tafuta Xiaomi redmi note 10, kama huwezi ipata subiria samsung Galaxy A22 soon inaingia sokoni. Utapata display nzuri amoled 90hz refresh, battery kubwa, processor yenye nguvu etc.
kama unaweza kupata hela ongeza 20000400,000/=
sad story mteja akawa wa kurengaNilimnunulia dada yangu flani hivi INFINIX SPARK 5 baada ya mwezi tena nilienda kununua simu ya OPPO A15.
Huwezi amini nilikaa nayo OPPO A15 siku 1 tu nikawa nauza ile simu ya INFINIX SPARK 5 ya Dada hata kwa hasara ya 180, 000/= ili niongezee pesa nimnunulie Dada yangu simu ya OPPO A15
Hakuna infinix spark 5 usidanganye watu,labda useme ilikuwa tecno spark 5Nilimnunulia dada yangu flani hivi INFINIX SPARK 5 baada ya mwezi tena nilienda kununua simu ya OPPO A15.
Huwezi amini nilikaa nayo OPPO A15 siku 1 tu nikawa nauza ile simu ya INFINIX SPARK 5 ya Dada hata kwa hasara ya 180, 000/= ili niongezee pesa nimnunulie Dada yangu simu ya OPPO A15
Mi nawashangaa hao wanaobeza hizi simu INFINIX, kuna infinix hapa INFINIX HOT 10 PLAY, inapga kazi vizuri tu, hakuna kustuck wala nini, chaji siku tatu data On! Mi naona hiz simu zipo vizuri sana kushinda hata hizo fragship zinazosifiwa, tena kama hizo SAMSUNG A series ndo majanga kabsa! Mara zinapoteza mtandao, mara ukiupdate ndo inaanza kuzingua, mara ina stuck! Kama haupitii users review wa hayo ma fragship mitandaon hauwez kujua kama zinamajanga!Hakuna infinix spark 5 usidanganye watu,labda useme ilikuwa tecno spark 5
Infinix ziko vzr mno hasa za sasa ivi yaan zinapiga kazi si kitoto,kikubwa tu iwe na ram ya kutosha na storage ya kutosha,,mi nina infinix s4 toka 2019 hadi now iko na ubora ule ule haijawahi chuja!!
Hakuna infinix spark 5 usidanganye watu,labda useme ilikuwa tecno spark 5
Infinix ziko vzr mno hasa za sasa ivi yaan zinapiga kazi si kitoto,kikubwa tu iwe na ram ya kutosha na storage ya kutosha,,mi nina infinix s4 toka 2019 hadi now iko na ubora ule ule haijawahi chuja!!
Kwa kutumia kigezo cha Soc ( system on chip ) hapo hakuna simu hio pesa mingi sana adake tu simu ingine ajitungue inlineChukua Oppo
infinix ni tecno iliyochangamka