Opinion: Shukuru Kawambwa ni waziri mbovu kuliko wote Tanzania

Bwana Azimio Jipya hivi ukikuta kiti kibovu mahali uaanza kusema kiti ni kibovu au utaanza kumlaumu fundi. basi kinachoonekana mbele ya macho ndicho kinachopewa tafsiri kwanza baadae aliyekiweka hapo ndipo hufuata.
 
Yupo husein mwinyi waziri wa ulinzi ni dokta sijui wa nini,nadhani uwaziri huo ni fadhira kwani baba mtu aliwahi mteua anaewateua hawa vilaza
 
wa kwanza ni shukuru kawambwa, wa pili ni pinda, mwingine ni nundu. mkuro anaweza kuongoza kwa wote hapa tz....no wonder watu wanamwona mmalawi.
 
Wapo wakina mama wawili, mmoja alihamasisha wake zetu watunyime unyumba kisa eti tunashabikia vyama vya upinzani, na mwingine na mwingine ni yule aliyekuwa anasema haoni sababu ya kuwa na katiba mpya. Kwangu hawa wawili ni wabovu isivyomithilika!
 
Kweli pinda hafai pm gani anashindwa kutumia wadhifa wake kuwawajibisha watendaji wabovu,hayati Sokoine hakua hivyo na sheria ndo zilezile
 
Yaani kuna watu wana bahati! Wasira hatajwi, Membe hatajwi, si mnkumbuka mikutano ya leonsulivan nakumbuka lugha gongan
 
Yaani kuna watu wana bahati! Wasira hatajwi, Membe hatajwi, si mnkumbuka mikutano ya leonsulivan nakumbuka lugha gongan
wasira ametajwa sana kua anajali chama na uwaziri,hawajibiki kwa taifa...membe sijamnyaka vizuri mkuu tujuze madudu yake
 
Hebu nibadirishe thrd mwzr bandugu 1 shukuru k. Bin 2 hawa G.shem 3Membe B. Bro endelezeni wengine mwzr bandugu
 
Membe hata eng hajui sijui huko ughaibuni huwa anaenda na mkalimani? Kama ana mkalimani ntamsifia!
 
Harafu maige siye aliyesafirisha wanyama, kumbukeni kidogo, skendo kaikuta labda madudu mengine
 
sioni ubora wowote wa magufuli, takwimu fekifeki na gharama zisizotazamiwa.
 
Kama jambazi kuu ndo mteuzi wa mawaziri basi donda ndugu hii balaa
 
Waziri mbovu kuliko wote ni mkulo! Kwanza hakubali kwamba hali ya uchumi wa tanzania ni mbaya, ye anaona uchumi upo tambarate tu. Kwa iyo hawezi kufanya jitihada yoyote maana haoni tatizo. Kiufupi intellectually ni mmbovu sana hadi kiutendaji. Check hata bungeni anavyostruggle kujibu hata hoja nyepesi.
Kingmairo naungana na wewe;Mh Mkulo ni waziri wa ajabu kuliko mawaziri wote duniani; ni nchi ya Tanzania pekee ambayo sheria ya kodi inawabagua watumishi wa umma na wale wa sekta binafsi kwa kuwatoza kodi kubwa wale wa sekta binafsi na kuwasaheme baadhi ya kodi wale wa sekta ya umma. Nchi nyingi dunia zinaamini ukuaji wa uchumi hutegemea sekta binafsi lakini Mkulo sidhani kama hata anafahamu hiyo mishahara anayowalipa wafanyakazi wa umma bila kutoza kodi kuwa kodi toka sekta binafsi
 
Last edited by a moderator:
Kweli mkulo ndio namba moja kwa uhujumu uchumi akitoa takwimu nadharia hili ni zigo kwetu,eti uchumi umepaa wakati kuna mfumko wa bei hapa haitaji digrii ya uchumi kutambua matangopori yake
 
Ndg wa Tz Bara,imekuwa ni tabia endelevu viongozi wetu waandamizi wa serikali kudanganya waziwazi na kuachwa bila kuwajibishwa. Huyu waziri amejinad hadharani kwamba ufaulu wa darasa la saba mwaka huu umeongezeka kwa asilimia 8,huu ni uongo uliokithiri.Hali halisi ni kwamba,wanafunzi waliofaulu kwa alama 100 walikuwa ni asilimia 10. Idadi hiyo ilimlazimu waziri kuagiza maofisa elimu warudie kuchagua upya hadi alama 70 kwan ilionekana wazi kuwa shule nyingi za sekondari hadi selection ya kwanza inakamilika zilikuwa zimekosa wanafunzi.SASA WA TZ huu ni ufaulu wa Ongezeko au Anguko?

KWA NINI WAZIRI ADANGANYE NA AACHWE HIVIHIVI akitamba mtaani?

Changieni wana jf...nawasilisha.
 
Huyo Kawambwa hafai kuwa waziri.Kudanganya ni kawaida yake mkuu. Hata wanafunzi wa Udom aliwadanganya kuhusu Field.'Yote haya ni kwa sababu ya Rais dhaifu'
 
Back
Top Bottom