mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
baada ya kusema NDIYO kwa kweli wananchi tujue, mgomo ni kwa faida yetu. Nchi imechelewa, madokta wangeamua wasingefanya kazi nchini, wanaelewa, 1. mwalimu hafundish bila chaki,kalamu 2. mhandisi hajengi bila simenti 3. hakimu haamui bila ushahidi 4. mlinzi halindi bila silaha 5. dereva haendeshi bila bima na taa 6. polisi bila dola? 7. mtangazaji bila kuwa on air! 8. duka bila bidhaa, duka gani? 9. utachezaje bila ngoma,mpigaji? 10. mining bila vifaa? 11. mkulima bila mbegu,zana? 12. mchumi bila data 13. mhasibu bila fedha zenyewe 14. mwanamipango bila mipango yenyewe mwisho Watanzania tumechelewa sana.