Mzee anzisha opereshen.... Kuna samaki wengi sana utawavua.. Wanaoshabikia kwa upepo tuu
Ni movement nzuri nimeipenda sana itatusaidia sisi mtaani kupata pa kuanzia kuwaelimisha waliochanganywa na mafuriko.
Wasiwasi wangu inaishia mitandaoni tena jamiiforums ambapo wengi hawafiki ingefika mitaani watu wangeelewa sana. Angalieni namna ya kuifikisha mitaani bila hivyo ni kazi bure.