tibwilitibwili
Senior Member
- Sep 12, 2006
- 184
- 10
- Mkulu GS, please! vipi tena mbona huwa unaleta vitu vya uhakika sana what is this? Okay by the time Dr. Slaa amemaliza kumshugulikia Mkamba taifa litakuwa limenufaika na nini huko Lushoto? Wananchi wa Lushoto watanufaika na nini hasa na hii siku moja Dr. Slaa atakayomshugulikia Makamba?
- I mean hizi siasa za majina ya viongozi mtajifunza lini kuachana nazo? After all the Zittos na Wangwe, bado tu mna hizi za majina ya viongozi? Inasikitisha sana, halafu hii ni breaking news! Kuweni na haurma kidogo na taifa wakuu! huu sio wakati wa nani zaidi kati ya Dr. Slaa na Makamba, huu ni wakati wa kuwaelimisha wananchi kuhusu viongozi wanaofaa na wasiofaaa kwa 2010.
Respect.
FMEs!
Chukua kwanza tano na pia hongera kwa kunitoa msituni . Nilikuwa nimejificha nachungulia kwa mbali .Umesema mengi poa ila siasa za majina hizi hazitakufa maana ndiyo siasa zenyewe . Ila sasa wenye majina hao ndiyo waje wachukue mawazo na ushauri wetu waongezee kulileta Taifa maendeleo. Pongezi ni kwamba Slaa na genge lake watatoa Elimu ya Uraia huko kuelekea uchaguzi mkuu hili hutalipinga na hapo sasa Taifa litakuwa limepiga hatua moja watu kujua nini ni haki yao na hasa katika chaguzi zozote pia kujua kwamba CCM inawavunga hili halisemwi na CCM wenyewe . Au unasemaje ?