Mosi, Hii Kesi dhidi ya huyu jamaa imefikia wapi? Pili, je kuna kanuni na sheria zimewekwa kuhusu ajira za wadau wa elimu ya chekechea na shule za msingi hapa Tanzania? Unaweza kuta shule nyingi zina hawa wagonjwa wa akili na ma-Pedophiles ambao wanaweka maisha ya watoto wetu rehani.