Operesheni Haki yaingia Mlandizi , Freeman Mbowe aongoza Vikao vya Majadiliano

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,377
217,438
Kama tulivyosema tangu awali ni kwamba Ile Kampeni ya kuamsha ari ya wananchi kudai Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi imeingia Kanda ya Pwani .

Leo imepigwa Mkoa wa Pwani , Mlandizi , ambako Mwamba mwenyewe ameongoza vikao vya Mashauriano .

Official_BAVICHA_Taifa’s_Instagram_photo:_“Mwenyekiti_wa_Chadema_Taifa_Mhe._Freeman_Mbowe_akih...jpg


CHASOUDSM_on_Instagram:_“Katibu_Mkuu_wa_(BAWACHA)_Taifa_Mhe._Catherine_Ruge_akihutubia_katika_...jpg
 
Kama tulivyosema tangu awali ni kwamba Ile Kampeni ya kuamsha ari ya wananchi kudai Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi imeingia Kanda ya Pwani .

Leo imepigwa Mkoa wa Pwani , Mlandizi , ambako Mwamba mwenyewe ameongoza vikao vya Mashauriano .

View attachment 1839049

View attachment 1839050
Huyu Mwamba hakamatiki Huo umati kwa mikutano ya ndani ni wazi ccm wako sahihi kuzuia mikutano ya kisiasa.
 
Back
Top Bottom