G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,556
- 8,422
Mnahangaika tu nduguBaada ya kukamilisha Operesheni Haki kwenye kanda 10 za Tanzania kwa mafanikio makubwa , sasa ni zamu ya Kimataifa , Tundu Lissu , John Mnyika pamoja na mwamba mwenyewe Freeman Mbowe kuunguruma kidigitali .
Wote Mnakaribishwa .View attachment 1856426
Shaurianeni kuhimiza jamii kufanya kazi kwa bidii ili wajikomboe kwenye uchumi na kuandaa maisha bora kwa vizazi
Haya mnayo hangaika nayo ni upuuzi tu na kuonyesha tamaa za mamlaka