Ndiho
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 2,306
- 1,531
Niko Ruangwa, ratiba ya mwamba inasemaje. Atafika huku?Baada ya kushuhudia mapokezi ya Mwamba Freeman Mbowe kwenye kampeni ya Operesheni Haki jimbo la Mtama, nimeona nichukue muda kiasi kumpongeza Nape Nnauye kwa kuhakikisha anapitishwa bila kupingwa kwenye uchaguzi wa 2020, alitumia akili sana ! Hali yake ni mbaya mno.
Hebu jionee mwenyewe.
View attachment 1822642View attachment 1822642
View attachment 1822454