montroll
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 319
- 126
CDM and the pipoz pawa imefanya kila linalohitajika kuleta uelewa wa ukombozi wa kweli,lakini bado wanyonyaji ccm wameendelea kushinda katika sanduku la kura, inawezekana wanaiba kura kwa kusaidiwa na dola lakini pia wanapata kura nyingi toka kwa watu wa vijijini ambao wamekosa fursa ya kufunguliwa mawazo yao ambayo yalitiwa gerezani na ccm kwa miaka 50.
Makamanda wa cdm, sasa ifanyike operation vijiji, kuzikomboa hizo akili na mawazo zilizofungwa na ccm.
Akili na mawazo hayo yaliyofungwa na ccm vijijini ndio mtaji wao wa mwisho, na kweli ni mtaji kwa magamba.
I suggest we hugely invest on emancipating the remote areas mind for two years non stop. Ccm will crumble like a cookie.
Ni aghali, pipoz pawa ina weza kuchangia gharama,
Duit naw.
Napendekeza.
Makamanda wa cdm, sasa ifanyike operation vijiji, kuzikomboa hizo akili na mawazo zilizofungwa na ccm.
Akili na mawazo hayo yaliyofungwa na ccm vijijini ndio mtaji wao wa mwisho, na kweli ni mtaji kwa magamba.
I suggest we hugely invest on emancipating the remote areas mind for two years non stop. Ccm will crumble like a cookie.
Ni aghali, pipoz pawa ina weza kuchangia gharama,
Duit naw.
Napendekeza.