Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Kinachoendelea mpaka sasa ni majigambo kama yale ya mabondia na kelele za kila kikucha majukwaani lakini uhalisia hakuna na hata dalili za uhalisia kuhusu kutekeleza sera ya viwanda hazionekani.
Miezi 9 inakatika sijui ukiwaambia wakupe orodha ya wafanyabiasha /wawekezaji wanaotaraji kuja kuwekeza hapa nchini watakuwa nayo sana sana watakuja na ahadi za Waziri Mkuu wa India na mambo ya aina hiyo.
Hivyo basi, iwapo operation UKUTA itatekelezwa na yakatokea ya kutokea, sitashangaa wakija na propaganda kuwa hali mbaya ya kisiasa ndio imefukuza wawekezaji na wanaweza kusema kabisa hii ndio agenda ya CHADEMA kumbe yamewashinda.
Inashangaza sana kuona watu wanaohubiri amani lakini wakiitwa kwenye vikao vya maridhiano hawatokei huku wakitoa sababu zisizo na mashiko.
Tusubiri muda ndio msema mkweli.
Miezi 9 inakatika sijui ukiwaambia wakupe orodha ya wafanyabiasha /wawekezaji wanaotaraji kuja kuwekeza hapa nchini watakuwa nayo sana sana watakuja na ahadi za Waziri Mkuu wa India na mambo ya aina hiyo.
Hivyo basi, iwapo operation UKUTA itatekelezwa na yakatokea ya kutokea, sitashangaa wakija na propaganda kuwa hali mbaya ya kisiasa ndio imefukuza wawekezaji na wanaweza kusema kabisa hii ndio agenda ya CHADEMA kumbe yamewashinda.
Inashangaza sana kuona watu wanaohubiri amani lakini wakiitwa kwenye vikao vya maridhiano hawatokei huku wakitoa sababu zisizo na mashiko.
Tusubiri muda ndio msema mkweli.