chambulilo
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 217
- 38
Binafsi naamini kuwatosa Mawaziri peke yao katika sakata hili la uonevu kwa wananchi kupitia operesheni tokemeza haitosho. Kamati za usalama zote za Wilaya ambazo maovu haya yalitokea nazo ziwajibishwe kwa uovu huu
Naomba kuwasilisha.
Naomba kuwasilisha.