sungura1980
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,909
- 1,210
Wapendwa wana JF
Kamati iliyoundwa kuchunguza yaliyojiri katika operation tokemeza Ujangili katika ripoti iliyowasilishwa jana bungeni aya ya 3:1:1 romans iii,Majibu ya kamati kuhusu majibu ya wizara ya maliasili na utalii.Kwamba kamati ilibaini kuwa kuna kauli na maelekezo yalitolewa na baadhi ya mawaziri kwenda kwa waliokuwa wakiendesha operation hiyo kuwa wanasiasa wasiguswe kabisa katika operation hiyo je ililenga kuwalinda nani na je kumbe operation hiyo ilikuwa ni kwa baadhi ya watu tu?
Binafsi nimesikitishwa sana na kipengele hicho na mshangao kwa nini watu na wabunge hawakuliongelea agizo hilo!
Ninaomba wana JF hapa tuiangalie na kuitafakari kauli hiyo tu kwanza"Wanasiasa wasiguswe",ni nani huyo alitoa kauli hiyo,nani walilengwa kulindwa na kauli hiyo,je kama wanasiasa hawakuguswa(kwa kutekeleza maagizo ya wasiguswe), wakati ripoti imebainisha wazi kuwa hata baadhi ya wabunge wanatuhumiwa je nini kifanyike?
Nawasilisha!
Kamati iliyoundwa kuchunguza yaliyojiri katika operation tokemeza Ujangili katika ripoti iliyowasilishwa jana bungeni aya ya 3:1:1 romans iii,Majibu ya kamati kuhusu majibu ya wizara ya maliasili na utalii.Kwamba kamati ilibaini kuwa kuna kauli na maelekezo yalitolewa na baadhi ya mawaziri kwenda kwa waliokuwa wakiendesha operation hiyo kuwa wanasiasa wasiguswe kabisa katika operation hiyo je ililenga kuwalinda nani na je kumbe operation hiyo ilikuwa ni kwa baadhi ya watu tu?
Binafsi nimesikitishwa sana na kipengele hicho na mshangao kwa nini watu na wabunge hawakuliongelea agizo hilo!
Ninaomba wana JF hapa tuiangalie na kuitafakari kauli hiyo tu kwanza"Wanasiasa wasiguswe",ni nani huyo alitoa kauli hiyo,nani walilengwa kulindwa na kauli hiyo,je kama wanasiasa hawakuguswa(kwa kutekeleza maagizo ya wasiguswe), wakati ripoti imebainisha wazi kuwa hata baadhi ya wabunge wanatuhumiwa je nini kifanyike?
Nawasilisha!