inspector laddy
JF-Expert Member
- Jan 5, 2014
- 761
- 258
Kuna kitu kinanitatiza, hivi mtu akifanyiwa operation ya kujifungua anatakiwa akae muda gani aweze kufanya mazoezi yaani kwenda Gym! kuna wanaosema miezi 6, wengine mwaka.
Napenda nijue mwenzenu.
Asanteni
Napenda nijue mwenzenu.
Asanteni