Operation kali Angola: Ombi langu kwa Mheshimiwa Rais

Drone Camera

JF-Expert Member
Jul 25, 2017
14,007
13,799
Mheshimiwa Rais pole na majukumu,

Kwanza nikupongeze kwa kazi kubwa unayoifanya ya kuliletea heshima taifa letu kwa kufanya mambo makubwa mbalimbali katika kila kona ya nchi yetu.

Tumeona juhudi zako katika nyanja mbalimbali kama uboreshwaji wa miundombinu, uboreshwaji wa huduma za afya,maboresho katika sekta ya elimu na mengine mengi japo changamoto za hapa na pale haziwezi kukosa.

Nikienda kwenye lengo kuu; Watanzania wengi tunashuhudia kinachoendelea nchini Angola chini ya serikali yake ya sasa. Kuna operation kali kwa mafisadi wakubwa wale tulioamini si rahisi kuguswa.

Tumeshuhudia familia ya Rais mstaafu Dos Santos ikiwa matatani hadi kupelekea baadhi yao kukimbia nchi na kutorokea Ulaya.

Hii leo akaunti za bidada tajiri zaidi Afrika, Isabel Dos Santos zimeshikiliwa na Serikali kwa ajili ya uchunguzi. Hii inaonesha hatua kubwa sana kwa jirani zetu wa SADC katika kupambana na ufisadi.

Mheshimiwa Rais natambua na kuheshimu juhudi zako katika kupambana na hili janga, lakini naamini bado hatujafikia ile level nyeti iliyofikiwa na hao majirani zetu.

Naamini kuna mabovu mengi yalifanywa na Serikali zilizopita ambapo impact yake tunakuja kuiona katika awamu hii ambapo baadhi yamepelekea Serikali yako kuingia matatani.

Mheshimiwa naomba muhula unaofuata uguse na huko. Naamini wapo wabaya zaidi ya hao uliowatia matatani bado wanadunda.

Wamesababisha hasara kubwa kwa taifa hadi kupelekea kuchukiwa kwa chama chako. Nina hakika ukifanya hilo tutakuwa Tanzania mpya zaidi.

Kwa leo naishia hapo.
Ndimi raia wako muaminifu,
Rob.
 
Usiamini hayo mambo hata siku moja, huko Angola usikute hata ni revenge tu na uwoga wa Serikali iliyopo, inawezekana Familia ya Dos Santos ina nguvu sana ya kifedha sasa bado ina nia ya kutawala na hilo kupelekea kutishia maisha Utawala uliopo lkn hakuna uhusiano wowote ule na kupambana na ufisadi, ni witch hunt tu!
 
Mheshimiwa Rais pole na majukumu.
Kwanza nikupongeze kwa kazi kubwa unayoifanya ya kuliletea heshima taifa letu kwa kufanya mambo makubwa mbalimbali katika kila kona ya nchi yetu.
Tumeona juhudi zako katika nyanja mbalimbali kama uboreshwaji wa miundombinu, uboreshwaji wa huduma za afya,maboresho katika sekta ya elimu na mengine mengi japo changamoto za hapa na pale haziwezi kukosa.
Nikienda kwenye lengo kuu; Watanzania wengi tunashuhudia kinachoendelea nchini Angola chini ya serikali yake ya sasa. Kuna operation kali kwa mafisadi wakubwa wale tulioamini si rahisi kuguswa. Tumeshuhudia familia ya rais mstaafu Dos Santos ikiwa matatani hadi kupelekea baadhi yao kukimbia nchi na kutorokea ulaya.... Hii leo akaunti za bidada tajiri zaidi Afrika,Isabel Dos Santos zimeshikiliwa na serikali kwa ajili ya uchunguzi.... Hii inaonesha hatua kubwa sana kwa jirani zetu wa SADC katika kupambana na ufisadi.
Mheshimiwa Rais natambua na kuheshimu juhudi zako katika kupambana na hili janga, lakini naamini bado hatujafikia ile level nyeti iliyofikiwa na hao majirani zetu.
Naamini kuna mabovu mengi yalifanywa na serikali zilizopita ambapo impact yake tunakuja kuiona katika awamu hii ambapo baadhi yamepelekea serikali yako kuingia matatani. Mheshimiwa naomba muhula unaofuata uguse na huko.... Naamini wapo wabaya zaidi ya hao uliowatia matatani bado wanadunda..... Wamesababisha hasara kubwa kwa taifa hadi kupelekea kuchukiwa kwa chama chako.. Ninahakika ukifanya hilo tutakuwa Tanzania mpya zaidi.
Kwa leo naishia hapo.
Ndimi raia wako muaminifu,
Rob.
Tz bado sana tunalindana

Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 
Usiamini hayo mambo hata siku moja, huko Angola usikute hata ni revenge tu na uwoga wa Serikali iliyopo lkn hakuna uhusiano wowote ule na kupambana na ufisadi, ni witch hunt tu!
Lakini ni hatua nzur kwao
 
Mheshimiwa Rais pole na majukumu.
Kwanza nikupongeze kwa kazi kubwa unayoifanya ya kuliletea heshima taifa letu kwa kufanya mambo makubwa mbalimbali katika kila kona ya nchi yetu.
Tumeona juhudi zako katika nyanja mbalimbali kama uboreshwaji wa miundombinu, uboreshwaji wa huduma za afya,maboresho katika sekta ya elimu na mengine mengi japo changamoto za hapa na pale haziwezi kukosa.
Nikienda kwenye lengo kuu; Watanzania wengi tunashuhudia kinachoendelea nchini Angola chini ya serikali yake ya sasa. Kuna operation kali kwa mafisadi wakubwa wale tulioamini si rahisi kuguswa. Tumeshuhudia familia ya rais mstaafu Dos Santos ikiwa matatani hadi kupelekea baadhi yao kukimbia nchi na kutorokea ulaya.... Hii leo akaunti za bidada tajiri zaidi Afrika,Isabel Dos Santos zimeshikiliwa na serikali kwa ajili ya uchunguzi.... Hii inaonesha hatua kubwa sana kwa jirani zetu wa SADC katika kupambana na ufisadi.
Mheshimiwa Rais natambua na kuheshimu juhudi zako katika kupambana na hili janga, lakini naamini bado hatujafikia ile level nyeti iliyofikiwa na hao majirani zetu.
Naamini kuna mabovu mengi yalifanywa na serikali zilizopita ambapo impact yake tunakuja kuiona katika awamu hii ambapo baadhi yamepelekea serikali yako kuingia matatani. Mheshimiwa naomba muhula unaofuata uguse na huko.... Naamini wapo wabaya zaidi ya hao uliowatia matatani bado wanadunda..... Wamesababisha hasara kubwa kwa taifa hadi kupelekea kuchukiwa kwa chama chako.. Ninahakika ukifanya hilo tutakuwa Tanzania mpya zaidi.
Kwa leo naishia hapo.
Ndimi raia wako muaminifu,
Rob.
wewe humpendi Magufuli,unawezaje kutofautisha ufisadi unaofanyika Tanzania na uwepo wa ccm madarakani au hukumsikia Mkapa kuhusu EPA? Kama unadhani Magufuli alipata urais kwa kivuli cha mgombea binafsi endelea kumshauri,aguse aone
 
Magufuli amefeli sana tuu, badala ya kupambana na mafisadi ametengeneza mafisadi wakubwa kuliko wa vipindi vilivyo pita na anawatetea hadharani.
Mheshimiwa Rais pole na majukumu.
Kwanza nikupongeze kwa kazi kubwa unayoifanya ya kuliletea heshima taifa letu kwa kufanya mambo makubwa mbalimbali katika kila kona ya nchi yetu.
Tumeona juhudi zako katika nyanja mbalimbali kama uboreshwaji wa miundombinu, uboreshwaji wa huduma za afya,maboresho katika sekta ya elimu na mengine mengi japo changamoto za hapa na pale haziwezi kukosa.
Nikienda kwenye lengo kuu; Watanzania wengi tunashuhudia kinachoendelea nchini Angola chini ya serikali yake ya sasa. Kuna operation kali kwa mafisadi wakubwa wale tulioamini si rahisi kuguswa. Tumeshuhudia familia ya rais mstaafu Dos Santos ikiwa matatani hadi kupelekea baadhi yao kukimbia nchi na kutorokea ulaya.... Hii leo akaunti za bidada tajiri zaidi Afrika,Isabel Dos Santos zimeshikiliwa na serikali kwa ajili ya uchunguzi.... Hii inaonesha hatua kubwa sana kwa jirani zetu wa SADC katika kupambana na ufisadi.
Mheshimiwa Rais natambua na kuheshimu juhudi zako katika kupambana na hili janga, lakini naamini bado hatujafikia ile level nyeti iliyofikiwa na hao majirani zetu.
Naamini kuna mabovu mengi yalifanywa na serikali zilizopita ambapo impact yake tunakuja kuiona katika awamu hii ambapo baadhi yamepelekea serikali yako kuingia matatani. Mheshimiwa naomba muhula unaofuata uguse na huko.... Naamini wapo wabaya zaidi ya hao uliowatia matatani bado wanadunda..... Wamesababisha hasara kubwa kwa taifa hadi kupelekea kuchukiwa kwa chama chako.. Ninahakika ukifanya hilo tutakuwa Tanzania mpya zaidi.
Kwa leo naishia hapo.
Ndimi raia wako muaminifu,
Rob.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mheshimiwa Rais pole na majukumu.
Kwanza nikupongeze kwa kazi kubwa unayoifanya ya kuliletea heshima taifa letu kwa kufanya mambo makubwa mbalimbali katika kila kona ya nchi yetu.
Tumeona juhudi zako katika nyanja mbalimbali kama uboreshwaji wa miundombinu, uboreshwaji wa huduma za afya,maboresho katika sekta ya elimu na mengine mengi japo changamoto za hapa na pale haziwezi kukosa.
Nikienda kwenye lengo kuu; Watanzania wengi tunashuhudia kinachoendelea nchini Angola chini ya serikali yake ya sasa. Kuna operation kali kwa mafisadi wakubwa wale tulioamini si rahisi kuguswa. Tumeshuhudia familia ya rais mstaafu Dos Santos ikiwa matatani hadi kupelekea baadhi yao kukimbia nchi na kutorokea ulaya.... Hii leo akaunti za bidada tajiri zaidi Afrika,Isabel Dos Santos zimeshikiliwa na serikali kwa ajili ya uchunguzi.... Hii inaonesha hatua kubwa sana kwa jirani zetu wa SADC katika kupambana na ufisadi.
Mheshimiwa Rais natambua na kuheshimu juhudi zako katika kupambana na hili janga, lakini naamini bado hatujafikia ile level nyeti iliyofikiwa na hao majirani zetu.
Naamini kuna mabovu mengi yalifanywa na serikali zilizopita ambapo impact yake tunakuja kuiona katika awamu hii ambapo baadhi yamepelekea serikali yako kuingia matatani. Mheshimiwa naomba muhula unaofuata uguse na huko.... Naamini wapo wabaya zaidi ya hao uliowatia matatani bado wanadunda..... Wamesababisha hasara kubwa kwa taifa hadi kupelekea kuchukiwa kwa chama chako.. Ninahakika ukifanya hilo tutakuwa Tanzania mpya zaidi.
Kwa leo naishia hapo.
Ndimi raia wako muaminifu,
Rob.
Yeye mwenyewe ni fisadi namba moja Tanzania atamkamata fisadi gani?
Wewe Unajua pesa iliyotumika kununua ndege ni sh ngapi na Bunge lipi lilikubali pesa hiyo itolewe?
Unajua Gharama za Airport ya Chato na Bunge lipi lilikubali pesa hiyo itolewe?
Magufuli hana tofauti na Dikteta Dos Santos na Mobutu Seseseko, muda utaongea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom