Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,689
- 39,753
hii ni habari njema kwa wanaotumia simu za java na blackberry ambao walikua wakidownload wanashindwa kuresume mafile yao pindi network ikikata.
Wengi wetu tulikua tukitumia opera kwenye kubrowse na ucweb kwenye kudownload kwa ajili hii.
version hii mpya ya opera inaitwa 7.1 na mpaka style ya kudownload itabadilika.
Thanks opera kwa kuzijali simu ndogo hadi leo
Wengi wetu tulikua tukitumia opera kwenye kubrowse na ucweb kwenye kudownload kwa ajili hii.
version hii mpya ya opera inaitwa 7.1 na mpaka style ya kudownload itabadilika.
Thanks opera kwa kuzijali simu ndogo hadi leo