Openbox12 Hd Pvr na Jsc card

Arselona

JF-Expert Member
Jan 13, 2011
642
153
Habari Jamii. Poleni kwa msiba wa Kanumba ingawa naona kama maigizo vile. Naomba mnisaidie,nataka kununua mojawapo ya bidhaa nilizoandika hapo juu na nimesha fanya mawacliano na kampun hucka. Hivi nikiamua kununua itanilazimu kulipia kodi? Na uki2mwa kwa DHL nitaupokelea wapi mzigo wangu? Aidha wamenipa option 3 za usafiri, DHL,Ems na Hongkong post. Naomba faida na hasara za njia hizo.
 
Tumia hata Honkong post kama upo Dar u will receive ur item from 8-14 days Am very sure. But kama utatumia EMS itachukua siku 4-6 from day of shipping, Hiyo HDL sijawahi kutana nayo.
 
Tumia hata Honkong post kama upo Dar u will receive ur item from 8-14 days Am very sure. But kama utatumia EMS itachukua siku 4-6 from day of shipping, Hiyo HDL sijawahi kutana nayo.

unamaanisha kwa kampuni zote ninatakiwa kupokea mzigo nikiwa dar? Na ushuru je nitahitaji kulipa? Naopt ku2mia hongkong post itanigharim $80 tu(item+transport cost).
 
unamaanisha kwa kampuni zote ninatakiwa kupokea mzigo nikiwa dar? Na ushuru je nitahitaji kulipa? Naopt ku2mia hongkong post itanigharim $80 tu(item+transport cost).

Hapana kwa aliye dar anawahi kupata mzigo kama ni mkoani fanya kuongeza 2 - 6 days baada ya mzigo kufika Dar kwa hongkong post. Nina maana ya kwama mzigo wako utakuja kwenye sanduku lako la barua. Utakuta Memo ya Regista kama watakutumia kwa mfumo wa register au utakuta kifurushi chako kwenye sanduku kama watatuma kwa njia ya letter/barua.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom