Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Nimesoma vyuo tofauti lakini sijawahi kuona chuo kigumu ndugu zanguni Kama open university..........
Yaani nimeshidwa kuamini baada ya kujiunga chuo nimeambiwa hakuna kuingia darasani , Hakuna lecture, Hakuna walimu, wanafunzi hamjuani, material unatafuta mwenyewe wao wanakupa mwongozo, wewe unasubilia mitihani tuu basiii
kwa elimu hiii hapana kabisaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani nimeshidwa kuamini baada ya kujiunga chuo nimeambiwa hakuna kuingia darasani , Hakuna lecture, Hakuna walimu, wanafunzi hamjuani, material unatafuta mwenyewe wao wanakupa mwongozo, wewe unasubilia mitihani tuu basiii
kwa elimu hiii hapana kabisaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app