Msongoru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2008
- 306
- 24
Naandika haya kwa masikitiko makubwa. Sijui nimwandikie John Malecela au nimwandikie Mwete! Hali inayoendelea katika chuo hicho sio mswano kabisa. Assignment kupotea na maitihani kutoonekana imekuwa ni jambo la kawaida.
Mitihani yenyewe kusahihihshwa inachukua muda mrefu kupita kawaida. Hali hiyo imepelea hivi majuzi wakatangaza kusogeza mwaka mzima kwa wanafunzi wa kozi ya msingi(Foundation Course). Yaani bila hata woga wakatangaza kuwa kutokana na 'uvivu' wa kusahihisha basi watajoin degree mwaka 2009! hii ni kinyume na prospectors yao, na sioni kama wanalielewa hilo.
Mwaka huu wameongeza malipo kwa kitu walichokiita ada ya mtihani ambapo hapo mwanzoni hakikwepo. Kwa kweli kuna hali ya kusikitisha sana kwani inaoneka ni ufisadi tu na hakuna nia ya dhati ya kuwapatia elimu watanzania.
Mpaka naandika hapa sijajua vizuri hadhi na wajibu wa mkuu wa chuo mheshimiwa Malecela. Lakini kunakiwa kufanyike kitu fulani, la sivyo hali itazidi kuwa mbaya. Hela wanazopata ni nyingi sana na sijui zinavyotumika kwa sababu hakuna service wanayotoa.
Mitihani yenyewe kusahihihshwa inachukua muda mrefu kupita kawaida. Hali hiyo imepelea hivi majuzi wakatangaza kusogeza mwaka mzima kwa wanafunzi wa kozi ya msingi(Foundation Course). Yaani bila hata woga wakatangaza kuwa kutokana na 'uvivu' wa kusahihisha basi watajoin degree mwaka 2009! hii ni kinyume na prospectors yao, na sioni kama wanalielewa hilo.
Mwaka huu wameongeza malipo kwa kitu walichokiita ada ya mtihani ambapo hapo mwanzoni hakikwepo. Kwa kweli kuna hali ya kusikitisha sana kwani inaoneka ni ufisadi tu na hakuna nia ya dhati ya kuwapatia elimu watanzania.
Mpaka naandika hapa sijajua vizuri hadhi na wajibu wa mkuu wa chuo mheshimiwa Malecela. Lakini kunakiwa kufanyike kitu fulani, la sivyo hali itazidi kuwa mbaya. Hela wanazopata ni nyingi sana na sijui zinavyotumika kwa sababu hakuna service wanayotoa.
Last edited by a moderator: