Wana jf naomba kujuzwa kama open university waliishaita watu kwenye interview.pia mwenye dondoo kuhusu nafasi za open university tulizoomba naomba atujuze.kazi njema wakuu
Hizo nafasi za kazi zilitangazwa lini, kama vipi muulizie huyo ndugu yako aliyekupa taarifa ya nafasi za kazi, sisi tunatafuta kazi nyie mnatangaziana nafasi za kazi kiundugu, sasa unaulizie interview, unataka tukujibu nini sasa? angryyyyyyyyyy!!!
Hizo nafasi za kazi zilitangazwa lini, kama vipi muulizie huyo ndugu yako aliyekupa taarifa ya nafasi za kazi, sisi tunatafuta kazi nyie mnatangaziana nafasi za kazi kiundugu, sasa unaulizie interview, unataka tukujibu nini sasa? angryyyyyyyyyy!!!
Dailynews ya 25 august 2011 pia kwenye website ya out
Wana jf naomba kujuzwa kama open university waliishaita watu kwenye interview.pia mwenye dondoo kuhusu nafasi za open university tulizoomba naomba atujuze.kazi njema wakuu