Kwani kwenye tangazo la kazi hawakuandika kuwa ukiona hadi tarehe hii imepita haujaitwa "consider yourself unsuccessfully applicant"?Au nyie ndo wale mnaoletewa kazi nyumbani??Kama uliletewa hii kazi nyumbani, It is very simple, muulize alokuletea hiyo kazi. Otherwise, wasiliana na ofisi ya utawala OUT.wana jf naomba kujuzwa kama open university waliishaita watu kwenye interview.pia mwenye dondoo kuhusu hizi nafasi tulizoziomba tupeane taarifa.kazi njema wakuu