MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Salamu kwa wote.........
Jamani eti hizi open marriages za wenzetu wazungu je kuna uwezekano kuwa wanatekeleza ule msemo wetu wa Mapenzi ni maua popote huchanua? hata kwa mtu ambaye ameoa au kuolewa?.
Kwa maana ya kuwa kuolewa au kuoa si mwisho wa kupenda? Je kuna ukweli katika msemo huu na kama ni ndio vipi sisi ambao hatufuati taratibu hizi za open marriages au ndoa za mikataba, tunawezasema tunaishi kinafiki kwa kupingana na hali halisi au?
Nazungumzia hizi ndoa za "Nitakuwa mwaminifu kwako Mpaka kifo kitutenganishe"
Jamani eti hizi open marriages za wenzetu wazungu je kuna uwezekano kuwa wanatekeleza ule msemo wetu wa Mapenzi ni maua popote huchanua? hata kwa mtu ambaye ameoa au kuolewa?.
Kwa maana ya kuwa kuolewa au kuoa si mwisho wa kupenda? Je kuna ukweli katika msemo huu na kama ni ndio vipi sisi ambao hatufuati taratibu hizi za open marriages au ndoa za mikataba, tunawezasema tunaishi kinafiki kwa kupingana na hali halisi au?
Nazungumzia hizi ndoa za "Nitakuwa mwaminifu kwako Mpaka kifo kitutenganishe"