HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,552
- 48,148
Neno.
Ila kuna kitu kimoja nataka kukiweka sawa.
Mimi kwa upande wangu naona itakuwa bora zaidi iwapo kwa bahati mbaya Baba wa Mtoto awe ametangulia mbele ya haki, hapo hata ukichukua jumla unakuwa na Amani ya MOYO.
Lakini haya mambo ya kuchukua jumla, halafu Baba wa Mtoto awe kichwa cha PANZI halafu king'ang'anizi, kinachofuata ni kusumbuana.
Na utakuta mwingine hata kama Mapenzi yalishakwisha ila Baba wa Mtoto akisikia kuna Mtu anataka kuchukua jumla, basi hapo ni mwanzo wa matatizo.
Kisa cha kujitakia matatizo yasiyo ya ulazima, na yanayohepukika!?
Ni bora kuepusha shari
Ila kuna kitu kimoja nataka kukiweka sawa.
Mimi kwa upande wangu naona itakuwa bora zaidi iwapo kwa bahati mbaya Baba wa Mtoto awe ametangulia mbele ya haki, hapo hata ukichukua jumla unakuwa na Amani ya MOYO.
Lakini haya mambo ya kuchukua jumla, halafu Baba wa Mtoto awe kichwa cha PANZI halafu king'ang'anizi, kinachofuata ni kusumbuana.
Na utakuta mwingine hata kama Mapenzi yalishakwisha ila Baba wa Mtoto akisikia kuna Mtu anataka kuchukua jumla, basi hapo ni mwanzo wa matatizo.
Kisa cha kujitakia matatizo yasiyo ya ulazima, na yanayohepukika!?
Ni bora kuepusha shari