KUDOLE CHA MWISHO
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 410
- 888
kaka point yako ya namba tatu ni uwongo sasa hv watu wanakimbiliaa kusoma china na japan
kuna siku nimesikia Sinor professor akilaumu why our student going east for every scholarship!?? wakati kule lugha ya kimombo ni hakuna!???
kasema hataa pale COET watu wamebadilishaa vikao kutoka Eng to swah
and he add up by saying after our generation end, students will be taught using Swahili course our generation is going with what we have -said
kuna siku nimesikia Sinor professor akilaumu why our student going east for every scholarship!?? wakati kule lugha ya kimombo ni hakuna!???
kasema hataa pale COET watu wamebadilishaa vikao kutoka Eng to swah
and he add up by saying after our generation end, students will be taught using Swahili course our generation is going with what we have -said