t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 6,331
- 14,629
Wafanyabiashara sio waajiriwa, naona unaoverlook hiloNajua ni mtumishi wa TRA,lakini ni kweli kwamba huwezi kumbembeleza mfanyibiashara asiyetaka kulipa kodi.Uta-coerse to some point,lakini akikataa ni lazima alazimishwe na sheria kufanya hivyo.
Tunduma wafanya biashara walihamia upande wa zambia walipoona wanasumbuliwa na kodi zisizoeleweka , na hadi leo hii baadhi hawajarudi upande wetu,. bado hujapata clue tu mfanyabiashara ni mtu gani?
unaweza kumnyanyasa muajiriwa kwa kuwa hana means , wafanyabiashara wanondoka na mitaji yao kuelekea kwenye nafuu ya kodi, na huwezi zuia hilo, mitaji ni yao na huko wanapokwenda wanapokelewa, kwa sababu watalipa kodi na kuchangia maendeleo ya nchi husika.