LILENDI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 1,400
- 496
Kuna mwalimu alikuwa anaita majina ya wanafunzi darasani.
Alipofika kwenye jina lifuatalo alisita na hakulisoma kabisa.
JINA LAKE NI: ALLY
LA BABA YAKE: SHANITO
LA UKOO: MBAGA
Du ebu lisome hili jina kwa kuunganisha kama usingewamaindi waliotoa hilo jina kwa huyu mwanafunzi?
dah, pole mkuu. lakini shukrani kwa kufunguka!