Complex
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 4,113
- 4,741
Kwa muono wangu hii ndiyo collaboration bora ambayo diamond ameifanya so far mpaka hivi sasa, Hakuna cha psquare, Uhuru wala Davido wote tupa kule. Sikuwahi kumkubali huyu jamaa, Ila kwa hii nyimbo, ameanza kubadili mtazamo wangu juu yake. Nahisi pia Lugha ya kishona imefanya huu wimbo upendeze zaidi.
Hii part aliyoimba Diamond ndiyo iliyonivutia haswa
....Aha darlie, kudhadhamuka kunge dhandi (Zama),
Inini handichagone, usaome moyo kunge njanji,
Aha darlie, kudhadhamuka kunge dhandi (Zama),
Inini handichagone, usaome moyo kunge njanji....,
Hii part aliyoimba Diamond ndiyo iliyonivutia haswa
....Aha darlie, kudhadhamuka kunge dhandi (Zama),
Inini handichagone, usaome moyo kunge njanji,
Aha darlie, kudhadhamuka kunge dhandi (Zama),
Inini handichagone, usaome moyo kunge njanji....,