Mpunilevel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 3,140
- 1,871
Nakumbuka wakati wa mchakato wa nafasi ya kumpata mgombea URAIS kupitia CCM, makundi hasimu yalisigana kiasi wadau kufikia hatua ya kusema kwamba chama kinafia mikononi mwa Jakaya Kikwete.
Naweza Sema Jakaya Kikwete ni mtu alieiva kisiasa, kwani aliweza kuongoza mchakato kwa umakini wa hali ya juu sana akishirikiana na sekretarieti yake na hatimaye kupata mpeperushaji bendera huku chama kikiwa imara licha ya zengwe na hujuma nyingi dhidi yake.
Sasa naamini Magufuli anakabidhiwa uenyekiti na list ya wasaliti ndani ya chama ili asafishe uozo wote, ikizingatiwa Magufuli hua alembi , ili chama kirudi kwenye misingi yake.
Hakika Kikwete umeiva kisiasa, jamaa hawana hamu na wewe. Kwisha habari Yao, chama umekiacha salama salmin, hongera sana.
Mwisho, Swali:je? CCM Imemfia Jakaya Kikwete.
Naweza Sema Jakaya Kikwete ni mtu alieiva kisiasa, kwani aliweza kuongoza mchakato kwa umakini wa hali ya juu sana akishirikiana na sekretarieti yake na hatimaye kupata mpeperushaji bendera huku chama kikiwa imara licha ya zengwe na hujuma nyingi dhidi yake.
Sasa naamini Magufuli anakabidhiwa uenyekiti na list ya wasaliti ndani ya chama ili asafishe uozo wote, ikizingatiwa Magufuli hua alembi , ili chama kirudi kwenye misingi yake.
Hakika Kikwete umeiva kisiasa, jamaa hawana hamu na wewe. Kwisha habari Yao, chama umekiacha salama salmin, hongera sana.
Mwisho, Swali:je? CCM Imemfia Jakaya Kikwete.