Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahhahah noma sanaMimi sirudii tena kununua hizo Mali za mkononi sasa hivi nina note 3 naitazama kama furniture tu haitaki kufunguka
Hata pia wanaotangaza madawa ya kurefusha na kunenepesha......Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine,
ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu,
simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia anakitupia huku,
juzi kuna jfmember nusu nimpeleke polisi kama si huruma iliyonijia ghafla,
wengi wanauza vimeo vilivyoshindikana au cm za kuungaunga kwa mafundi!
USHAURI:Tuache uvivu twende madukani,simu mpya na guarantee bei rahisi,tupunguze tamaa za kupata vitu vizuri kwa bei za kutupa
trueEmbu toa habari ki Great thinker! Ni member gani na ilikuwaje? Utatusaidia na wengine.
kwa nanimbona mm nmepata cm nzr bei chee tena juz leo cku ya tatu naitumia!?? Iphone 5 na nltoa tangazo humu humu habari mchanganyiko wewe ndo uwe makin huenda ni royal in buzness
kabisaNikweli ila wachache wanaharibu
tena sanahahahhahah noma sana
wamekufanyajeDuh!mi mgeni jamani...humu ndani msinifanyie hivyo
maduka hujui yalipo!? mnatakaga vya ráhisi rahisi gharamaNatafuta note3 iwe black? Pia nauza s3 used 4months but good condition
weka namba yako, au nawe ni walewale!?Mimi nina laptop HP NAUZA CONTACT ME setysanga@gmail.com
umewawezakwani toka lini JF imegeuka kuwa duka la kuuza bidhaa kama SIMU????, pili pili ule wewe kelele utupigie sisi , kwanini hatufati malengo ya JF????? ndo maana "mjini shule kijijini tuisheni". ni hayo tu kwa leo.
mkiambiwa ukweli mnakuwa wakalifunga bakuli lako,
m2 mwnyw upo Kwimba sh typ
hilo ndo la maanaUmeniokoa bro!!!looh!!!sirudiii ng'o bora niende msimbazi
kula5Mie kwanza huwa nashangaa mtu unanunuaje simu kwa mtu wakati maduka yapo!
biashara dukani sio JfMbona ni kawaida ya biashara?
ukweli unaumafunga bakuli lako,
m2 mwnyw upo Kwimba sh typ
maduka hawayaoni?!Kama ni hivyo ebay isingekuwa ina exist
Kuuza kitu ulichotumia ni kawaida niko sii nataka siii nimeitumia kweli nauza kwa depreciation value tatizo liko wapi?
trueNikweli ila wachache wanaharibu