ONYO kwa wanaonunua simu humu

Kuna iPad na lenovo tablet zipo vizuri naweza kukupa option ya kulipa kwa instalment km nitajiridhisha. Napatikana 0753635805
 
Way Logistics ltd
About Us
Our Services
Contact Us +255717017776 or +255657579017
We are licensed by the Tanzania Customs Service providing Clearing and Forwarding services in Tanzania. We can assist in the clearing of shipping, with speed and efficiency
 
Ni kweli
Mwaka huu nilinunua simu humu JF mwanzoni mwa mwaka ilikuwa LG jamaa alinieleza kuwa ni brand ila kilichomnitokea ilikuwa fake yani clone NA KWA BAHATI MBAYA NILIKUWA MKOANI YEYE ALIKUWA DSM hivyo akatuma kama parcel
Ila sasa nimeamua mwezi wa 10 niienda kwa benson hapa arusha nikchukua HTC
kwa kweli sishauri ununue simu hapa JF
OVER.
 
hebu toa pumba zako huko,kama we hujakutana nayo kaa kimya!ila soma vizuri thread za jukwaa hili juzi kuna mtu amenusurika kupigwa laptop,we kaa hivyohvyo kama zombi mpk yakukute
kwa jinsi ulivyomjibu kwa kauli zako unaonesha dhahiri kabisa ulitapeliwa kwa ujinga wako.
 
Kuwasaidia wengine, mtaje. Sisi tutaangalia IDs zake zote na kuziunganisha.

Ikibidi, tupe # yake ya simu tutamwanika hadi majina halisi. Threads zake zote zitafutwa na ID itawekewa status ya TAPELI.

Thanks

Oh yes, kuna haja kuwadhibiti kwa njia hiyo.
 
wewe umekutana na mzinguaji mmoja unahukumu wauzaji wote......mimi nishauzia watu humu vitu vingi tu na wananipm kuappreciate.....sasa hivi nauza iPHONE 4S brand new....boxed na accessories zote njoo ni-pm ununue na uje utoe feedback hapa....hata sisi wauzaji kuna wanunuzi tunagongana na wayeyushaji wengi tu lakini ni sehemu ya biashara...
4S HOW MUCH
 
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine,
ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu,
simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia anakitupia huku,
juzi kuna jfmember nusu nimpeleke polisi kama si huruma iliyonijia ghafla,

wengi wanauza vimeo vilivyoshindikana au cm za kuungaunga kwa mafundi!
USHAURI:Tuache uvivu twende madukani,simu mpya na guarantee bei rahisi,tupunguze tamaa za kupata vitu vizuri kwa bei za kutupa
Hahahaa huyo naye ndo anatuharibia biashara kwanza humu tuko kama ndugu unaanzaje kumfanyia member mwenzio hvyo???huyo atasababsha mpaka sisi tuuzao simu nzuri na halisi tusiaminike tena,halafu na wewe mkuu hzo bb curve zshakuwa old model sana kwa miaka hii kuipata mpya ni issue sana ujue
 
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine,
ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu,
simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia anakitupia huku,
juzi kuna jfmember nusu nimpeleke polisi kama si huruma iliyonijia ghafla,

wengi wanauza vimeo vilivyoshindikana au cm za kuungaunga kwa mafundi!
USHAURI:Tuache uvivu twende madukani,simu mpya na guarantee bei rahisi,tupunguze tamaa za kupata vitu vizuri kwa bei za kutupa
 
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine,
ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu,
simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia anakitupia huku,
juzi kuna jfmember nusu nimpeleke polisi kama si huruma iliyonijia ghafla,

wengi wanauza vimeo vilivyoshindikana au cm za kuungaunga kwa mafundi!
USHAURI:Tuache uvivu twende madukani,simu mpya na guarantee bei rahisi,tupunguze tamaa za kupata vitu vizuri kwa bei za kutupa
 
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine,
ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu,
simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia anakitupia huku,
juzi kuna jfmember nusu nimpeleke polisi kama si huruma iliyonijia ghafla,

wengi wanauza vimeo vilivyoshindikana au cm za kuungaunga kwa mafundi!
USHAURI:Tuache uvivu twende madukani,simu mpya na guarantee bei rahisi,tupunguze tamaa za kupata vitu vizuri kwa bei za kutupa
 
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine,
ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu,
simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia anakitupia huku,
juzi kuna jfmember nusu nimpeleke polisi kama si huruma iliyonijia ghafla,

wengi wanauza vimeo vilivyoshindikana au cm za kuungaunga kwa mafundi!
USHAURI:Tuache uvivu twende madukani,simu mpya na guarantee bei rahisi,tupunguze tamaa za kupata vitu vizuri kwa bei za kutupa
Mkuu usemayo ni ya kweli mimi nilinunua Samsung Galaxy Note 3 nikaitumia miezi 4 tu juzi inanionyesha kuwa NOT REGISTERED TO THE NETWORK,nimejaribu kuwa reset hakuna kit sasa hivi naitazama kama furniture tu
 

Similar Discussions

64 Reactions
Reply
Back
Top Bottom