Pritty wa joseph
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,380
- 2,039
Alafu kumbe katoto tu dah nilitaka kukapiga sound nikaona aibu
Ungepiga tu mzee siunajua kuwa nasound wise
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu kumbe katoto tu dah nilitaka kukapiga sound nikaona aibu
kwa jinsi ulivyomjibu kwa kauli zako unaonesha dhahiri kabisa ulitapeliwa kwa ujinga wako.hebu toa pumba zako huko,kama we hujakutana nayo kaa kimya!ila soma vizuri thread za jukwaa hili juzi kuna mtu amenusurika kupigwa laptop,we kaa hivyohvyo kama zombi mpk yakukute
Kuwasaidia wengine, mtaje. Sisi tutaangalia IDs zake zote na kuziunganisha.
Ikibidi, tupe # yake ya simu tutamwanika hadi majina halisi. Threads zake zote zitafutwa na ID itawekewa status ya TAPELI.
Thanks
4S HOW MUCHwewe umekutana na mzinguaji mmoja unahukumu wauzaji wote......mimi nishauzia watu humu vitu vingi tu na wananipm kuappreciate.....sasa hivi nauza iPHONE 4S brand new....boxed na accessories zote njoo ni-pm ununue na uje utoe feedback hapa....hata sisi wauzaji kuna wanunuzi tunagongana na wayeyushaji wengi tu lakini ni sehemu ya biashara...
Hahahaa huyo naye ndo anatuharibia biashara kwanza humu tuko kama ndugu unaanzaje kumfanyia member mwenzio hvyo???huyo atasababsha mpaka sisi tuuzao simu nzuri na halisi tusiaminike tena,halafu na wewe mkuu hzo bb curve zshakuwa old model sana kwa miaka hii kuipata mpya ni issue sana ujueKumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine,
ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu,
simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia anakitupia huku,
juzi kuna jfmember nusu nimpeleke polisi kama si huruma iliyonijia ghafla,
wengi wanauza vimeo vilivyoshindikana au cm za kuungaunga kwa mafundi!
USHAURI:Tuache uvivu twende madukani,simu mpya na guarantee bei rahisi,tupunguze tamaa za kupata vitu vizuri kwa bei za kutupa
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine,
ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu,
simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia anakitupia huku,
juzi kuna jfmember nusu nimpeleke polisi kama si huruma iliyonijia ghafla,
wengi wanauza vimeo vilivyoshindikana au cm za kuungaunga kwa mafundi!
USHAURI:Tuache uvivu twende madukani,simu mpya na guarantee bei rahisi,tupunguze tamaa za kupata vitu vizuri kwa bei za kutupa
Embu toa habari ki Great thinker! Ni member gani na ilikuwaje? Utatusaidia na wengine.
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine,
ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu,
simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia anakitupia huku,
juzi kuna jfmember nusu nimpeleke polisi kama si huruma iliyonijia ghafla,
wengi wanauza vimeo vilivyoshindikana au cm za kuungaunga kwa mafundi!
USHAURI:Tuache uvivu twende madukani,simu mpya na guarantee bei rahisi,tupunguze tamaa za kupata vitu vizuri kwa bei za kutupa
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine,
ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu,
simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia anakitupia huku,
juzi kuna jfmember nusu nimpeleke polisi kama si huruma iliyonijia ghafla,
wengi wanauza vimeo vilivyoshindikana au cm za kuungaunga kwa mafundi!
USHAURI:Tuache uvivu twende madukani,simu mpya na guarantee bei rahisi,tupunguze tamaa za kupata vitu vizuri kwa bei za kutupa
Mkuu usemayo ni ya kweli mimi nilinunua Samsung Galaxy Note 3 nikaitumia miezi 4 tu juzi inanionyesha kuwa NOT REGISTERED TO THE NETWORK,nimejaribu kuwa reset hakuna kit sasa hivi naitazama kama furniture tuKumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine,
ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu,
simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia anakitupia huku,
juzi kuna jfmember nusu nimpeleke polisi kama si huruma iliyonijia ghafla,
wengi wanauza vimeo vilivyoshindikana au cm za kuungaunga kwa mafundi!
USHAURI:Tuache uvivu twende madukani,simu mpya na guarantee bei rahisi,tupunguze tamaa za kupata vitu vizuri kwa bei za kutupa